Nikuambie kitu wasiliana na tcr.a au nenda makao makuu ya mtandao anaoutumia wanaouwezo wa kukuambia anapatikana wapi kwa muda huo unaomfuatilia na uwezo wa kumkamata unao kwa kushirikiana na police kitengo husika amini hivyo kuna mtu alishawahi jaribu na akafanikiwa.
Mara ya mwisho nilimwona Picnic majira ya saa 2 usiku laikini ilikuwa kama miezi miwili iliyopita.Jamaa ni tapeli haswa kuna rafiki yake yuko mitaa ya Soko kuu dereva taxi kazi yao ni utapeli sidhani kama wanashughuli nyingine.
Naendelea na zoezi la kumtafuta jamani, jana usiku kanitumia massage whatsup ya kuniomba samahani usiku but sikuweza kuiona Lakini nilipojaribu kumtafuta asubuhi simu zake zilikuwa zimezimwa nafikiri Kuna rafiki zake walumsoma huku wakamshtua.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.