Angalia unachokisema,wanasema kama hujui ni busara kukaa kimya kuliko kumsingizia au kumkandamiza mnyonge.Kuna mtu alikuwa anakula godtime kama Makonda,jalibu kujifunza hata Kwa mifano
Hii mijadara ndiyo inayoonyeshaga taswira nzima ya upeo wa watu,jibu lake wakristo.wamejikata sana kwenye Elimu toka miaka na miaka,wakiwa na Ajenda ya Kanisa Shule,Hospital,Wakati Waisilamu ni misikiti na Madrasa,
Lakini tujiulize hii Elimu ya kukariri inamsadia...
kwa hiyo unataka kunithibitishia kwamba leo hii ukaambiwa Yesu kaludi yuko uwanja wa Taifa,kwa picha yako unategemea utamkuta kavaa suti na tai kama wachungaji wenu?ebu jalibu tu hata kutumia lugha ya picha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.