Recent content by kuhanda kawili

  1. kuhanda kawili

    Mch. Gwajima asifu utendaji wa Magufuli, Dr Slaa ampongeza Gwajima

    Kusema juu ya MA ESCRO ni makwaru kwaru au kuelezea udhaifu wa utawala uliopita ilikuwa nongwa? Magufuli hajaja kuleta fitina Bali ni mpatanishi ndiyo maana hata kesi ya Minja ilimkera na mfumo wa usambazaji wa EFD!!!
  2. kuhanda kawili

    Magufuli: Hutaki wafanyabiashara wa Kitanzania wawe mabillionaire?

    Post zingine zinalenga kutukwaza mimi nakusamehe bure kwa vile hujui ulisemalo!!!
  3. kuhanda kawili

    Kwanini January Makamba anachukiwa sana?

    Mh! Kumbe wengi mnamjua dogo...kibri
  4. kuhanda kawili

    Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

    Hofu yako nini? We acha fagio lipite kama chumba chako kiko safi hawatafanya usafi wakati pako safi!!! Huwezi kuchapa kazi bila kujua ufanyaji wa kazi wa wahusika ukoje,,,? Mimi nipo tayari fagio like chumbani kwangu hivi sasa ni wakati wa MBIVU NA MBICHI kujulikana!?
  5. kuhanda kawili

    Billcanas wanakwepa kodi, TRA tafadhali chukua hatua

    Pole sana kwa taarifa za kizushi! Rais anashughulikia chanzo cha ukwepaji wa kodi na nidhamu katika utumishi uliotukuka muda unakuja hivyo ni vitu vidooogo sana.
  6. kuhanda kawili

    Wabunge wataka Milioni 130 badala ya 90 kama mkopo wa gari

    Wabunge si wa muhimu kama afya zetu, Elimu nk. Dr. Magufuli songa mbele magari na posho zao ni kodi za wananchi , nchi yetu imefikishwa hapa na hao wapiga hela tu! Kwani ni lazima wawe na magari ya kifahari? Mbona wakiacha ubunge wananunua suzuki? Na wanaishi tu!
  7. kuhanda kawili

    Wizara nane kufutwa, nyingine kuunganishwa

    Wizata muhimu ni...ULINZI NA USALAMA, MAMBO YA NJE, FEDHA NI YA RAISI MOJA KWA MOJA..! AFYA.. Za muhimu ni nne tuu. Zingine ni mzigo tuuu. Maana kuna wakuu wa Wilaya..Wakuu wa Mikoa..Wakurugenzi...makatibu wakuu ..usalama wa Taifa nk. Hawa wote wanawajibika kwa RAISI ....kwa nchi km hii yenye...
  8. kuhanda kawili

    CCM bado hamjairudisha Kanda ya Ziwa

    Kutambiana kwa UKABILA ni athari kubwa kwa jamii!!! Mimi ni msukuma hivi ... Wachaga wanakosa gani hata tuwahukumu hivi? Angalieni msichonganishe makabila ..... wasukuma hatuna ugomvi na wachaga....km ni kero za nchi hazijatengenezwa na wachaga Ama wasukuma....kwa nini msiseme ukweli wa mambo?
  9. kuhanda kawili

    Ninaamini kote anapoenda Magufuli ana taarifa zake nzito!

    Nasubiri baraza la mawaziri wasiozidi 15 out of son or daughter of vigogo
  10. kuhanda kawili

    Ninaamini kote anapoenda Magufuli ana taarifa zake nzito!

    Hata Kikwete alianza kwa staili hii lkn walimccm Mzee wa Msoga mchezo baado sana nchi hii bila katiba ya Warioba hakuna jipya...
  11. kuhanda kawili

    Magufuli, Pesa hizi zinatoka wapi?

    Hapa ni Maigizo ya hoja Jf....Mungu angalia waja wako Nyerere tutakukumbuka daima dawamu.
  12. kuhanda kawili

    Dr. Helen Kijo Bisimba wa LHRC apata ajali

    Du! Ukitaka kujua unafiki soma comment za page hii yaani....! Hapa ni hoja za kuchafuana kupita kiasi.
  13. kuhanda kawili

    Mnamsifia mno Magufuli mpaka sasa imekuwa kero

    Kinachonivutia hapa ni kwamba km ni kukosa dawa wote msitari mmoja mmoja, michango wote!! Mwisho wa siku mtasema bora hata aliyepita!
  14. kuhanda kawili

    Je wajua hii? Wanaume wavivu kupiga mswaki na kuoga ndiyo hupendwa mno na wapenzi wao

    Bigup! Acheni kupinga tu wekeni vigezo...! Beberu mwenye harufu mbaaaya ndo mtafuna nanihiii! Km huamini urembo ni mademu kwa mwanaume ni ushoga!?
  15. kuhanda kawili

    Mazingaombwe matokeo Darasa la Saba

    Sasa ni siasa mpaka darasani! Kuna siku mtatuambia asprin ni dawa ya macho!!!!
Back
Top Bottom