CCM bado hamjairudisha Kanda ya Ziwa

CCM bado hamjairudisha Kanda ya Ziwa

safari hii ingekuwa maajabu ya 8 ya dunia
kabila kubwa kabisa limebarikiwa kumpata mgombea wa kabila lao halafu limkatae
eti likamchagukutoka Milama Meru au Kilimanjaro yaani ningewapuuza sana
HONGERENI WASUKUMA, WAHAYA, WAZINZA nk kwa kuwakataa Wachagga waachieni labda vibiashara lakini sio SIASA
ni uhakika Magufuli na CCM yake ni mpaka 2025, sasa hapo ndio tutaangalia km ni Mgogo au Mbena lkn Kaskazini wasubiri kauli ya Baba was Taifa na Ridhiwani hazijafutika
Wewe unafaa kupuuzwa na kila aliyezaliwa na mwanamke. Ushindwe na ulegee; ukabila ndo unaendekea mpaka sasa katika zama hizi. Badilika ndugu!
 
Wana Raisi, wachaga wamesimamisha mgombea toka 1995 mpka leo hajashinda na hatokuja shinda
 
Kwanza niwapongeze kwa ushindi mkubwa mlioupata kanda ya ziwa japo sehemu zingine mliupora kwa walioshinda.

Ukweli ni kuwa wananchi walio wengi kanda ya ziwa bado hawana imani na CCM na wana majonzi mazito kutokana na matumaini yao kufifia.

Ushauri wangu kwa CCM ni kuwa wasipojitahidi kurudisha imani kwa wanakanda ya ziwa 2020 hali yao itakuwa mbaya sana.

Tusubiri tuone.
Wangekuwa hawana imani wasingemchagua Magufuli kwa ushindi wa kishindo,kikanda hiyo ndio kanda aliyoongoza magufulikujizolea kura ,hata wapiga deki barabara walimpigia kura za kishindo
 
Acheni ukabila.

Alafu mnapowazungumzia kaskazini mnawasema sana Wachaga. Huo ni wivu wa kimaendeleo tu. Wachaga ndio kabila lililoendelea sana Tanzania, kibiashara hata kielimu. By the way mimi ni mmasai

Nadhani ulikuwa unaandika kwa utani. Sitaki kuamini kuna watu wamejaa ukabila wa kiwango hiki kati yetu Tanzania. Na kama ndivyo, basi tuna tatizo kubwa la kujichukia wenyewe na kuendekeza ukabila, udini, rangi, umbo, na vyovyote. Hata wanyama wanatushinda, wanyama wana rangi na marakaraka kila aina lakini sijawahi kuwaona wakisema wewe wa Kaskazini, wewe kuku au mbuzi wa kusini. This is extremely too stupid if not silly. Samahani, nachukia sana ubaguzi.

Inashangaza mtu kuufurahia ukabila
 
mkuuu Mimi ni msukuma Og toka kijiji cha kikubiji, kata ya sangu tarafa ya mwamashimba wilayani kwimba, nafanya kazi Rombo tarakea na sijawahi nyimwa ushirikiano na jamii hii ya wachaga eti kisa Mimi msukuma, wachache wenye hoja mfu kama wewe ndio mnalipasua taifa na hyo laana haitowaacha

Hata msukuma sikubaliani na hoja ya ukabila na magufuri.mwenyenywe aliupinga hata kwenye kampeni.alisalimia kwa kabila zote
 
safari hii ingekuwa maajabu ya 8 ya dunia
kabila kubwa kabisa limebarikiwa kumpata mgombea wa kabila lao halafu limkatae
eti likamchagukutoka Milama Meru au Kilimanjaro yaani ningewapuuza sana
HONGERENI WASUKUMA, WAHAYA, WAZINZA nk kwa kuwakataa Wachagga waachieni labda vibiashara lakini sio SIASA
ni uhakika Magufuli na CCM yake ni mpaka 2025, sasa hapo ndio tutaangalia km ni Mgogo au Mbena lkn Kaskazini wasubiri kauli ya Baba was Taifa na Ridhiwani hazijafutika

...huyo riz 1 ndio mumeo aliekushikia akili kenge ww!
 
Kwa hii kasi ya Magufuli naimani huko tuendako chadema watakuwa na hali ngumu sana kanda ya ziwa. Maana ata kura alizokosa ni zile za mashaka kwa chama chake ila sasa ni kama anaitakasa ccm na serikali. Ngoja tuone.

Kwa mwendo huu wa Magufuli, natabiri anguko la Lema huko Arusha mjini
 
Kutambiana kwa UKABILA ni athari kubwa kwa jamii!!! Mimi ni msukuma hivi ... Wachaga wanakosa gani hata tuwahukumu hivi? Angalieni msichonganishe makabila ..... wasukuma hatuna ugomvi na wachaga....km ni kero za nchi hazijatengenezwa na wachaga Ama wasukuma....kwa nini msiseme ukweli wa mambo?
 
Namshangaa eti wameporwa lol. Tumejitambua 3015 tumekataa kutumiwa. Viva ukanda wa ziwa
 
safari hii ingekuwa maajabu ya 8 ya dunia
kabila kubwa kabisa limebarikiwa kumpata mgombea wa kabila lao halafu limkatae
eti likamchagukutoka Milama Meru au Kilimanjaro yaani ningewapuuza sana
HONGERENI WASUKUMA, WAHAYA, WAZINZA nk kwa kuwakataa Wachagga waachieni labda vibiashara lakini sio SIASA
ni uhakika Magufuli na CCM yake ni mpaka 2025, sasa hapo ndio tutaangalia km ni Mgogo au Mbena lkn Kaskazini wasubiri kauli ya Baba was Taifa na Ridhiwani hazijafutika

"...ukiona mtu anakimbilia kwenye ukabila..., jua kafilisika kisiasa..."-Mwl. JK. Nyerere
Wewe unahitaji Elimu, Elimu, Elimu. Usituletee ubaguzi wako wa kipumbavu Tanzania.
 
Wachaga na wajaluo walipata ubunge mwanza
Na huko moshi na arusha wajitokeze makabila mengine yagombee wakipendwa watapita au?
 
safari hii ingekuwa maajabu ya 8 ya dunia
kabila kubwa kabisa limebarikiwa kumpata mgombea wa kabila lao halafu limkatae
eti likamchagukutoka Milama Meru au Kilimanjaro yaani ningewapuuza sana
HONGERENI WASUKUMA, WAHAYA, WAZINZA nk kwa kuwakataa Wachagga waachieni labda vibiashara lakini sio SIASA
ni uhakika Magufuli na CCM yake ni mpaka 2025, sasa hapo ndio tutaangalia km ni Mgogo au Mbena lkn Kaskazini wasubiri kauli ya Baba was Taifa na Ridhiwani hazijafutika

Acha ukabila wewe, mtu anachuguliwa kwa sifa zake na siyo kabila lake
 
safari hii ingekuwa maajabu ya 8 ya dunia
kabila kubwa kabisa limebarikiwa kumpata mgombea wa kabila lao halafu limkatae
eti likamchagukutoka Milama Meru au Kilimanjaro yaani ningewapuuza sana
HONGERENI WASUKUMA, WAHAYA, WAZINZA nk kwa kuwakataa Wachagga waachieni labda vibiashara lakini sio SIASA
ni uhakika Magufuli na CCM yake ni mpaka 2025, sasa hapo ndio tutaangalia km ni Mgogo au Mbena lkn Kaskazini wasubiri kauli ya Baba was Taifa na Ridhiwani hazijafutika

hatutamkataa mtu kwa sababu ya kabila lake. lakini pia hatutamchagua mtu kwa sababu ya kabila lake by mwalimu julius nyerere.
 
Ndo ukweli usiofichika wachaga walijiona wao wanaweza teka nchi yoote wakasahau sensa ya mwaka 2012 ilitoa takwimu gani... ona sasa Wasukuma walivowanyoooshaaa.....hahahhaah? na CDm ya mbowe isahau kuigia ikulu

taratibu tunaanza kuwa kama kenya. ujaluo na ukamba. ukikuyu na....
 
Tanzania yote imeungana kuwakataa wakaskazzin na huo ndio ukwelii.... pesa zetu watuibie na uongoz washike hapaanaaaa.
 
Acha kuwaza siasa fanya kazi. Viongozi wenyewe wa vyama hawayawazi hayo kwa sasa. Mbowe na akina kinana wanafikilia jinsi ya kupata pesa za ubunge ww unawaza jinsi gani wamechukua hawajachukua kanda ya ziwa. Kafanye kazi. Waza kazi ni mwaka wa hapa kazi tu.
 
Back
Top Bottom