Recent content by KUBURI

  1. K

    Waziri Muhongo atoa kali: Amuita Zitto 'Kijana Mlafi wa Rushwa'

    Kama serikali wangefuata ule ushauri wangeokoa pesa nyingi sababu gharama za kukodisha ile mitambo ni kubwa sana na mpaka sasa hela waliyotumia kulipia kwa kukodisha ishazidi gharama ya kuinunua,kwanza kwa hela gani mliyokuwa nayo wa tz mpaka mkatae kununua used wakati hata mishahara ya walimu...
  2. K

    Uliza lolote kuhusu mgogoro ndani ya DRC hasa mapigano kati ya M23 na FARDC

    Jamaa gwakisa umenichekesha sana eti aende na domo lake
  3. K

    Zitto: Sijahongwa, ni siasa za urais na hasira za posho!

    Hv dr slaa alilipa zile hela za chama alizojikopesha akaenda kujenga hekalu?maana siyo mnamkomalia zito mengne ya maana mnayakwepa.
  4. K

    Hatimaye Edward Snowden apata ajira Russia

    Ndiyo madhara ya kuwa na mashoga kwenye taasisi nyeti kwa kujifanya haki za binadamu matokeo yake ndiyo hayo.
  5. K

    TB JOSHUA: Kuna Rais East Africa atatekwa na Club kulipuliwa

    Alivyokuwa anatabili yahya hussein mlikuwa mnasema anatumia majini hila kwa kuwa huyo mwenzenu mnamsifia kabisa na unabii wake wa uwongo.
  6. K

    wahaya kwa kujisifia mpaka mnakela

    Kulikua na kikao cha wazazi kuhusu vijana wetu wanaosoma watu wakachangia ndo ikawa zamu ya mzee mmoja wa kihaya na tulimjua kabila lake kutokana na jina na lafudhi ikawa badala ya kuongea kilochomleta ikaanza kujisifia km nusu saa akataja hadi mshahara anaopokea kazini,alichowauzi watu alisema...
  7. K

    Msaada tafadhari nnatumia tecno p3 nnataka ku download movie nnashindwa

    Me kabla cjaanza kutumia tecno p3,nilikuwa nnatumia samsung c5212 nilikuwa nnadownload movie nyingi tu,lakini hii tecno kila nikitaka kudownload naambiwa niweke download manager nikijaribu kudownload yanakuja mambo ya kuandika account no wakati samsung nilikua siulizwi hayo mambo,km kuna anaejua...
  8. K

    Kwa "wachawi" hawa lazima mtani afungwe

    Hao ni watu waliyojifanya misukule ilikuwa inaandaliwa kupelekwa kanisani mchungaji ajifanye amewatoa watu watoe sadaka makanisa ya mitaani mnatabu sana mm kkkt daima.
  9. K

    List ya wasanii 50 wa muziki wa Tanzania ambao "wanalazimisha fani"

    Usingewaweka shilole na snura ningekukumbusha maana hao hawana kipaji cha muziki mtaji wao wa kuvutia watu ni kucheza uchi watu wakishangilia wanajua wanafurahia muziki wao kumbe wanashangilia kuona pichu
  10. K

    Kulikoni wachina kupaka kambi yao rangi ya CCM!!

    Cku hz hata ukitaka kutumia rangi ya bendera ya taifa itabidi uogope maana watu kila kitu wao siasa tu
  11. K

    Punyeto ni nini na nini madhara yake?

    Kama haujaanza kupga puchu usianze,me kila nikijitahidi kuacha nnashindwa,hla nye.to raha jamani unajipimia mwenyewe saizi unayotaka cyo dem mara k kubwa huku hamna unajipimia
  12. K

    Tuungane Kupinga Kelele za Muziki Kwenye Makazi

    Mtaani kwetu kuna walokole wanalia ucku hadi asubuhi halafu walikuwa wakilia wanatumia mic tumeenda kuwaomba jamani mkiwa mnalia tunaomba msitumie mic ss hv ndo wanalia bila ya mic kidogo afadhari.
  13. K

    ISRAEL v/s IRAN.

    Israel angekuwa na uwezo wa kuipga iran angekuwa ameshapga,ww haujiulizi kwann syria na sudan ameshambulia lakini kwenda iran anamsubiri obama mbona haendi km alivyoenda syria kupga na obama amemkaushia km yy taifa teule aende tumeshachoka kelele zake kila siku ntaenda kwenda haendi
  14. K

    The Godfather ya Mario Puzo

    Hz movie bro anazipenda sn anazo 1 hadi 3 kumbe ni nzuri sn bahati mbaya kila nikijitahidi kuziangalia nashindwa maana siwezi kuangalia movie nusu saa nisilale
  15. K

    The Natural Penis Enlargement Guide

    Ahsante sn ntaifanyia kazi ntakupa matokeo
Back
Top Bottom