Recent content by kubingwwa

  1. kubingwwa

    Nafasi za kazi, banking officers NMB Plc

    Wakuu kwenye interview za nmb wanaomba kwenda na vitu gani zaidi ya vyeti??
  2. kubingwwa

    King'amuzi cha kwenye smart tv za kisasa yani DVB-T2

    Nilikua na swali, atanikiwa na antena ya startimes pekee bila yakununua king'amuzi then nikakonekt kwenye tv zenye huo mfumo wa DVB-T directly itafanya kaz??
  3. kubingwwa

    Bei ya gunia la mpunga Mbarali

    Naomba number zako mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
  4. kubingwwa

    Naibu Waziri Kadege: Kifo cha mwanafunzi aliyeuliwa na mwalimu ni mapenzi ya Mungu

    Yupo sawa, kifo ni mpango wa mungu lakini kupitia binadamu Sent using Jamii Forums mobile app
  5. kubingwwa

    Nataka niache advance PCB nahisi imenishinda

    Inaonekana hukujiandaa pindi unasubir kwenda advance yaani hukusoma tution, chamuhimu tafuta tution anza kupiga, tumia mudawako mwingi katika kusoma then mambo yatakua sawa Sent using Jamii Forums mobile app
  6. kubingwwa

    Ukweli kuhusu Arusha City Vs Mwanza City

    Usikarir! Fanya utafit Sent using Jamii Forums mobile app
  7. kubingwwa

    Kwako Rais Magufuli

    Hayo ni mawazo yako!! Kwafitina zako na uchama wako, unapoteza muda tu! Pambana namaisha yako ujipatie ridhik ukamilishe life cycle ya hapa dunian, muache rais afanyekaz, najua sio lazima umpende wew ila sis tulio mpakula bado tunampenda! Hata wew hupendw na wote, so keep calm!!
  8. kubingwwa

    Kwako Rais Magufuli

    Hata usemeje rais ndo tulienae, kaa tulia afanye yake! Wew unaweza kumkosoa baba ako!!?
  9. kubingwwa

    Kwako Rais Magufuli

    Usituletee mambo ya sudani, unataka tanzania igawanyike! Kumbuka hotuba ya baba wa taifa juu ya kujitenga laana itawafata mtakao jitenga.Acha upimbi ingetokea kama rwanda mauaj ya wenyewe kwa wenyewe utafurah!? acha woga wa kijinga wew mwanaume pambana usikae unalia ka mwanamkee, unataka maisha...
  10. kubingwwa

    Kwako Rais Magufuli

    Mwambie huyo, na mswaada unapelekwa wakumuongezea muda mpaka 2029
  11. kubingwwa

    Kwako Rais Magufuli

    Usijifanye unamjua mungu sana, hata wew utakufa, ufanye mema ufanye mabaya utakufa tu! Timiza ya duniani, ujue kifo kipo tu. Wew na utuzima wako huo kifo ndo umekijua leo?
  12. kubingwwa

    Kwako Rais Magufuli

    Kwani ulimpakura wew!? Acha kujipendekeza, tuliompakura tumetulia natunafurah! Kubaliana na mim hiyo ndo majority rule kama ulikua hujui. ku win uraisi lazima mmoja apate nusu plus 1 ya kura zote, so dont panic braza! Pambana na hali yako! Usizani wote tunamawazo kama yako, kama unadukuduku...
  13. kubingwwa

    Lema: Spika nashukuru kwa msamaha wako wa bure lakini mimi na familia yangu tumechagua kuendelea kukuombea

    Usiishie kuwatanguliza wenzako, nawew onyesha mfano! Unazan kaz rahs kucheza na maisha! Sent using Jamii Forums mobile app
  14. kubingwwa

    Kama Rais kashindwa kusimamia Usalama wa wananchi wake maana yake nchi imemshinda.

    Bibi ako ndo ajiuzuru, lakin cio maguful nilie mpakura, wew kama hukumpa kura kaa kimya pimb!! Ulio wapa wako a side, tafakar Sent using Jamii Forums mobile app
  15. kubingwwa

    Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

    Kwani we unapelekwa wap? Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom