Kwako Rais Magufuli

Kwako Rais Magufuli

Magufuli Tumekukosea Nini??

Nayaandika haya kwa machungu makubwa sana.
Ulituomba kura, uliongea kwa uchungu sana ukidai unahitaji kuwasaidia Watanzani, ulilia hadi machozi majukwaani, uliishiwa mpaka sauti kwa kueleza machungu yako uliyokuwa ukiyapata kwa sababu ya umaskini, uduni wa maisha, Ajira kwa Vijana, Elimu kwa mtoto wa Maskini, mateso ya wamachinga, Mama ntilie , wakulima, wafugaji, wavuvi , wafanyabiashara n.k.
Hakika tuliona neema kwako kipindi kile, tukajua Israeli sasa ameshuka Tanzania.

Mh Magufuli nayaandika haya kwa machungu mno, maisha yamekuwa mabaya sana mtaani, vijana wanazagaa tu, kila mtu amebaki kutafuta kifungua kinywa na ili mradi tumbo lishibe, wasomi wanalia kila kona ya nchi, vijana wengi wamekondeana, hawana afya, watu wana stress kila mahali, sio watumishi wa Mungu, sio wafanyabiashara, sio wanafunzi, sio wafugaji, sio wakulima, sio machinga wala mama Ntilie. Vijana wanaonekana wazee kabla ya umri, stress zimejaa kwa kila famili nchi nzima, Tatizo ni nini , tumekosea wapi Ndugu yetu Magufuli,,,,,,,

Matukio ya mauaji, utekaji, ujambazi, majanga yenye sura ya kukomoa yamekuwa kawaida tena maskioni mwa Watanzani. Roho ya mtu kutolewa kwa sasa imekuwa kawaida na kutolewa majibu marahisi tu "Watu wasiojulikana"

Sio viongozi , sio raia, sio wasanii, sio vijana wala wazee wanapotezwa kila uchwao, ni wapi Magufuli tulipokosea??

Maisha yameturudisha miaka 70 nyuma enzi za mkoloni ambapo Mtu mweusi anachukuliwa kama sio Binadamu, hana haki yeyote katika maisha yake. Hakika vijana ambao tuna maono ya kuwa na maisha yetu binafsi kwa ajili ya baadae tayari tumepoteza direction ya maisha kabisa, Vijana tunaogopa hata kuoa, umri unaenda, sijui tutakuwa Taifa la namna gani.

Magufuli umeyaharibu maisha, vijana wengi tumesoma lakini hatuna mchango wowote kwa Taifa letu, tumekaa mitaani, tunaomba Mungu usiku na mchana Miujiza itokee tule tushibe tulale, matumaini ya wazazi wetu kwetu hayapo tena. Kweli sijui tumekosea wapi kwako Mzee wetu.

Tunaishi kwa maisha ya wasiwasi, hakuna mwenye uhakika wa kesho yake, sijui kwanini umeshindwa kuelewa hii hali mpaka sasa, Najua kiyoyozi , misafara ya kifahari ya magari zaidi ya 200 ambayo yamezingirwa kwa mitutu ya Bunduki pengine yanakufanya usielewe nini kinaendelea nje, tunaomba uelewe tayari nchi haina mwelekeo wenye matumaini yeyote. Hakuna sera rafiki inayoonekana mpaka sasa, najua unaweza kupata huu ujumbe lakini bado ukasema kwa lugha yako ile ya kiyunani, " FANYA KAZI".

Magufuli tunaomba uelewe hakuna binadamu mkamilifua, wote tumekuja kwa njia moja na kwa njia moja tutaondoka, haijalishi mwingine alikuwa Rais, waziri n.k , elewa manung'uniko haya hayataishia kwenye kizazi hiki tu, Vizazi zaidi ya 3 vitanung'unika juu yako hata ukiwa kaburini, Watoto watalia, wataomboleza kwa ugumu wa maisha wanaopata wengine hawatosoma na kufikia ndoto zao sawa sawa, wengi watasema. "maisha yalikuwa magumu sana ningesoma vizuri mimi"

Ujumbe huu nimeuandika nikiwa na machungu sana, Taifa linapita katika mapito magumu mno, hata uhuru wa kuabudu unanyimwa na utawala wako, Yalifanyika maombi mengi sana kukuombea, viwanjani, makanisani, misikitini mpk chini ya miti. Lakini kumuombea mgonjwa kwa ibada na imani imekuwa shida leo kisa ni wa itikadi tofauti, Naomba Israeli akutembelee katika hili na anene kwa njia zote nawe.
Magufuli kumbuka hata wewe hauna hati miliki yeyote ya Kuishi duniani milele, jambo hili limekuwa chukizo mbele za Mungu wetu, nakuomba sana Moyo wako usijae kiburi wala ulimi wako usiwe mwepesi wa kunena, matendo yako mengi yatalipwa hapa Duniani, Mbinguni ni sehemu ya kukamilisha tu matukio yako ya hapa.

Magufuli tambua kwamba unyanyasaji unaotufanyia Mungu atakunyanyasa sawa sawa na kiasi cha kila chozi linalodondoka hapa.

Naendelea Kumuuliza Mungu juu ya Utawala huu, utawala wenye kiburi, majivuno, ubabe na kila aina ya uuaji kwa raia wake.

Natamani nione nchi iliyojaa Upendo, uvumilivu, Heshima, Ubinadamu, Haki, Utawala wa sheria, Uchumi imara na Utajiri wa nafsi, mali na Roho. Nchi ya kumcha Mungu.....n.k

Naomba sana Ujumbe huu ukufikie kwa muda uliopangwa na Mungu.

Hakuna sababu ya kuniita mchochezi, nimeysema yaliyoujaza moyo wangu, sitaki kuona naendelea kusononeka, natamani ningepata hata nafasi ya kukueleza haya lakini nimeona hata huku huwa unapitia sana, kama si wewe basi wasaidizi wako.

Ahsante

Niite ; GOODLUCK
...mkuu hamna namnaa...kama nakuona unavoandika
 
Mkuu umri wako na huu ushabiki maandazi wa T shirt haviendani,una sound kama vijana wa kijiweni wanaoshinda wanabishania Maywether na Ronaldo nani ana pesa zaidi.,jibidiishe serikali ni hii hii ya JPM hadi 2025,hizi nyingine ni porojo tu.Huyo Lissu wenu kaponzwa na Upumbavu wake kujifanya MUCH KNOW.

Huo Umuch know unaousema ni wakulitetea TAIFA lake,huyo unayemuabudu sijui JPM huyo naye ni wale wale wapigaji tu.Hivi mpaka sasa ameshatoa mrejesho wa bilioni nane za KIVUKO kibovu??

Siku ukijua umepatikana kwa kumuabudu binadamu wmenzako umeishazeeka hauna muda wala nguvu ya kuhoji tena

Pili kwa kusema UMUCH know umemponza maana yake Serikali ya CCM inatakiwa kula bila kuhojiwa na RAIA zake na ukihoji halali yako KIFO,basi ni bora tukatangaziwa kabisa kugawana maeneo ili mnaopenda kuona damu za watu mchukue maeneo yenu na tunaopenda haki na uhuru wa RAIA tupewe eneo letu.

Msiue watu kwa kisingizio chochote.Acheni uuaji.Kuna baada ya dunia hii.JPM hana mbingu na wala hana nchi na yeye anapita tu.
 
Mkuu umri wako na huu ushabiki maandazi wa T shirt haviendani,una sound kama vijana wa kijiweni wanaoshinda wanabishania Maywether na Ronaldo nani ana pesa zaidi.,jibidiishe serikali ni hii hii ya JPM hadi 2025,hizi nyingine ni porojo tu.Huyo Lissu wenu kaponzwa na Upumbavu wake kujifanya MUCH KNOW.
Mwambie huyo, na mswaada unapelekwa wakumuongezea muda mpaka 2029
 
Huo Umuch know unaousema ni wakulitetea TAIFA lake,huyo unayemuabudu sijui JPM huyo naye ni wale wale wapigaji tu.Hivi mpaka sasa ameshatoa mrejesho wa bilioni nane za KIVUKO kibovu??

Siku ukijua umepatikana kwa kumuabudu binadamu wmenzako umeishazeeka hauna muda wala nguvu ya kuhoji tena

Pili kwa kusema UMUCH know umemponza maana yake Serikali ya CCM inatakiwa kula bila kuhojiwa na RAIA zake na ukihoji halali yako KIFO,basi ni bora tukatangaziwa kabisa kugawana maeneo ili mnaopenda kuona damu za watu mchukue maeneo yenu na tunaopenda haki na uhuru wa RAIA tupewe eneo letu.

Msiue watu kwa kisingizio chochote.Acheni uuaji.Kuna baada ya dunia hii.JPM hana mbingu na wala hana nchi na yeye anapita tu.
Mkuu wewe jua kitu kimoja huwezi shindana na serikali,fanya yako.Hiyo hali ipo mioyoni mwenu tu,mtaani maisha yanasonga kama kawaida.Lissu alijidanganya na nyie mkamchochea akajiona Hero.,wangapi hapa walimwambia anachokitafuta atakipata?,. Kama unataka uongozi wa nchi subiri 2020 ugombee ila usiwatoe watu kwenye mipangilio iliyopo.Mnamuita mwanasheria msomi,wanasheria wengine hawajasoma?,haya yupo wapi sasa?.,hii dunia fanya yako,serikali achana nayo huwezi shindana nayo,itakula kwako.Kama una hasira sana hama nchi,urudi Lowassa akiwa Raisi,kama hujazeekea huko huko.
 
Yeye Anadhani kwamba ni Mungu mtu na anataka watanzania wamwabudu yeye badala ya Mungu halisi.

Yaani rais mnafiki na mwenye roho ya chuki na vinyongo kama huyu, hahitajiki kuliongoza taifa hili
 
Mkuu wewe jua kitu kimoja huwezi shindana na serikali,fanya yako.Hiyo hali ipo mioyoni mwenu tu,mtaani maisha yanasonga kama kawaida.Lissu alijidanganya na nyie mkamchochea akajiona Hero.,wangapi hapa walimwambia anachokitafuta atakipata?,. Kama unataka uongozi wa nchi subiri 2020 ugombee ila usiwatoe watu kwenye mipangilio iliyopo.Mnamuita mwanasheria msomi,wanasheria wengine hawajasoma?,haya yupo wapi sasa?.,hii dunia fanya yako,serikali achana nayo huwezi shindana nayo,itakula kwako.Kama una hasira sana hama nchi,urudi Lowassa akiwa Raisi,kama hujazeekea huko huko.

Kuna siku utakuja kuyakana haya unayoyaandika.Hakuna Serikali duniani inayokataa kukososlewa zaidi ya serikali zetu za AFRIKA ambazo keki ya TAIFA ni kwa ajili ya nyie mliokaribu na mwenye kigoda na wale ndugu na marafiki wa karibu.Tumeiona hata kwa huyo mnayemuabudia nduguze na familai yake ndiyo wanaokula mezani sasa,na wapambe mnachukizwa sana kuona Mkuu hali kwa raha.

Sikushangai na sitokushangaa maana ni mmoja wanaopewa keki ya TAIFA.

Kuwa wakili msomi ni jina la kila wakili duniani anaitwa hivyo kama hujui basi uliza japo uelimishwe.

Anachokifanya Lissu ni kutaka kile kidogo hata watanzania wengine wakipate japo tone,kuanza kusme uliyoyaongea hapo juu sidhani kama upo sawa labda umelewa ulichowekewa mezani.Hakushindana na serikali bali kwa serikali makinia likuwa naielekeza wayfoward ya wapi RAIS apite ili afanikiwe anakoenda,lakini msiojua mnakimbia bila kuangalia nyuma,huyo JPM yuko kwa ajili yamaslahi yake na familia yake tu.

Pole sana,nilidhani naongea na mwenye akili kumbe napigishana kelele na mwen...............................zimu
 
Usituletee mambo ya sudani, unataka tanzania igawanyike! Kumbuka hotuba ya baba wa taifa juu ya kujitenga laana itawafata mtakao jitenga.Acha upimbi ingetokea kama rwanda mauaj ya wenyewe kwa wenyewe utafurah!? acha woga wa kijinga wew mwanaume pambana usikae unalia ka mwanamkee, unataka maisha kama ya siria!! Nenda shule coz unahoja za kijinga, na inaonyesha hata shule hukwenda wew!! Kwa taarifa yako rais aliepo mpaka 2029 kama umevmb pasuka!!
 
ukiona hivyo ujue anatafuta kiky kwanza yukowapi sijamsikia muda mwingi sana kanisa bado lipo?
L

eo mchungaji Fernandes agape kamsifia sana magufuli mpaka sijaelewa kwanini na mauaji haya yanayopangwa dhidi ya wanavyama mbadala
 
Magufuli Tumekukosea Nini??

Nayaandika haya kwa machungu makubwa sana.
Ulituomba kura, uliongea kwa uchungu sana ukidai unahitaji kuwasaidia Watanzani, ulilia hadi machozi majukwaani, uliishiwa mpaka sauti kwa kueleza machungu yako uliyokuwa ukiyapata kwa sababu ya umaskini, uduni wa maisha, Ajira kwa Vijana, Elimu kwa mtoto wa Maskini, mateso ya wamachinga, Mama ntilie , wakulima, wafugaji, wavuvi , wafanyabiashara n.k.
Hakika tuliona neema kwako kipindi kile, tukajua Israeli sasa ameshuka Tanzania.

Mh Magufuli nayaandika haya kwa machungu mno, maisha yamekuwa mabaya sana mtaani, vijana wanazagaa tu, kila mtu amebaki kutafuta kifungua kinywa na ili mradi tumbo lishibe, wasomi wanalia kila kona ya nchi, vijana wengi wamekondeana, hawana afya, watu wana stress kila mahali, sio watumishi wa Mungu, sio wafanyabiashara, sio wanafunzi, sio wafugaji, sio wakulima, sio machinga wala mama Ntilie. Vijana wanaonekana wazee kabla ya umri, stress zimejaa kwa kila famili nchi nzima, Tatizo ni nini , tumekosea wapi Ndugu yetu Magufuli,,,,,,,

Matukio ya mauaji, utekaji, ujambazi, majanga yenye sura ya kukomoa yamekuwa kawaida tena maskioni mwa Watanzani. Roho ya mtu kutolewa kwa sasa imekuwa kawaida na kutolewa majibu marahisi tu "Watu wasiojulikana"

Sio viongozi , sio raia, sio wasanii, sio vijana wala wazee wanapotezwa kila uchwao, ni wapi Magufuli tulipokosea??

Maisha yameturudisha miaka 70 nyuma enzi za mkoloni ambapo Mtu mweusi anachukuliwa kama sio Binadamu, hana haki yeyote katika maisha yake. Hakika vijana ambao tuna maono ya kuwa na maisha yetu binafsi kwa ajili ya baadae tayari tumepoteza direction ya maisha kabisa, Vijana tunaogopa hata kuoa, umri unaenda, sijui tutakuwa Taifa la namna gani.

Magufuli umeyaharibu maisha, vijana wengi tumesoma lakini hatuna mchango wowote kwa Taifa letu, tumekaa mitaani, tunaomba Mungu usiku na mchana Miujiza itokee tule tushibe tulale, matumaini ya wazazi wetu kwetu hayapo tena. Kweli sijui tumekosea wapi kwako Mzee wetu.

Tunaishi kwa maisha ya wasiwasi, hakuna mwenye uhakika wa kesho yake, sijui kwanini umeshindwa kuelewa hii hali mpaka sasa, Najua kiyoyozi , misafara ya kifahari ya magari zaidi ya 200 ambayo yamezingirwa kwa mitutu ya Bunduki pengine yanakufanya usielewe nini kinaendelea nje, tunaomba uelewe tayari nchi haina mwelekeo wenye matumaini yeyote. Hakuna sera rafiki inayoonekana mpaka sasa, najua unaweza kupata huu ujumbe lakini bado ukasema kwa lugha yako ile ya kiyunani, " FANYA KAZI".

Magufuli tunaomba uelewe hakuna binadamu mkamilifua, wote tumekuja kwa njia moja na kwa njia moja tutaondoka, haijalishi mwingine alikuwa Rais, waziri n.k , elewa manung'uniko haya hayataishia kwenye kizazi hiki tu, Vizazi zaidi ya 3 vitanung'unika juu yako hata ukiwa kaburini, Watoto watalia, wataomboleza kwa ugumu wa maisha wanaopata wengine hawatosoma na kufikia ndoto zao sawa sawa, wengi watasema. "maisha yalikuwa magumu sana ningesoma vizuri mimi"

Ujumbe huu nimeuandika nikiwa na machungu sana, Taifa linapita katika mapito magumu mno, hata uhuru wa kuabudu unanyimwa na utawala wako, Yalifanyika maombi mengi sana kukuombea, viwanjani, makanisani, misikitini mpk chini ya miti. Lakini kumuombea mgonjwa kwa ibada na imani imekuwa shida leo kisa ni wa itikadi tofauti, Naomba Israeli akutembelee katika hili na anene kwa njia zote nawe.

Magufuli kumbuka hata wewe hauna hati miliki yeyote ya Kuishi duniani milele, jambo hili limekuwa chukizo mbele za Mungu wetu, nakuomba sana Moyo wako usijae kiburi wala ulimi wako usiwe mwepesi wa kunena, matendo yako mengi yatalipwa hapa Duniani, Mbinguni ni sehemu ya kukamilisha tu matukio yako ya hapa.

Magufuli tambua kwamba unyanyasaji unaotufanyia Mungu atakunyanyasa sawa sawa na kiasi cha kila chozi linalodondoka hapa.

Naendelea Kumuuliza Mungu juu ya Utawala huu, utawala wenye kiburi, majivuno, ubabe na kila aina kwa raia wake.

Natamani nione nchi iliyojaa Upendo, uvumilivu, Heshima, Ubinadamu, Haki, Utawala wa sheria, Uchumi imara na Utajiri wa nafsi, mali na Roho. Nchi ya kumcha Mungu.....n.k

Naomba sana Ujumbe huu ukufikie kwa muda uliopangwa na Mungu.

Hakuna sababu ya kuniita mchochezi, nimeysema yaliyoujaza moyo wangu, sitaki kuona naendelea kusononeka, natamani ningepata hata nafasi ya kukueleza haya lakini nimeona hata huku huwa unapitia sana, kama si wewe basi wasaidizi wako.

Ahsante

Niite ; GOODLUCK
Mwizi akibanwa atatafuta kila. sababu ya kueneza propaganda chafu dhiidi ya yule anayezuia wizi
 
Mkuu wewe jua kitu kimoja huwezi shindana na serikali,fanya yako.Hiyo hali ipo mioyoni mwenu tu,mtaani maisha yanasonga kama kawaida.Lissu alijidanganya na nyie mkamchochea akajiona Hero.,wangapi hapa walimwambia anachokitafuta atakipata?,. Kama unataka uongozi wa nchi subiri 2020 ugombee ila usiwatoe watu kwenye mipangilio iliyopo.Mnamuita mwanasheria msomi,wanasheria wengine hawajasoma?,haya yupo wapi sasa?.,hii dunia fanya yako,serikali achana nayo huwezi shindana nayo,itakula kwako.Kama una hasira sana hama nchi,urudi Lowassa akiwa Raisi,kama hujazeekea huko huko.
Lazima uongee kiwehuwehu maana umeshajikatia tamaa

Utabaki kukodoa mimacho anayekula ni bashite na baba ake

Msitufanye sie wajinga pumbavu zenu
 
Kuna siku utakuja kuyakana haya unayoyaandika.Hakuna Serikali duniani inayokataa kukososlewa zaidi ya serikali zetu za AFRIKA ambazo keki ya TAIFA ni kwa ajili ya nyie mliokaribu na mwenye kigoda na wale ndugu na marafiki wa karibu.Tumeiona hata kwa huyo mnayemuabudia nduguze na familai yake ndiyo wanaokula mezani sasa,na wapambe mnachukizwa sana kuona Mkuu hali kwa raha.

Sikushangai na sitokushangaa maana ni mmoja wanaopewa keki ya TAIFA.

Kuwa wakili msomi ni jina la kila wakili duniani anaitwa hivyo kama hujui basi uliza japo uelimishwe.

Anachokifanya Lissu ni kutaka kile kidogo hata watanzania wengine wakipate japo tone,kuanza kusme uliyoyaongea hapo juu sidhani kama upo sawa labda umelewa ulichowekewa mezani.Hakushindana na serikali bali kwa serikali makinia likuwa naielekeza wayfoward ya wapi RAIS apite ili afanikiwe anakoenda,lakini msiojua mnakimbia bila kuangalia nyuma,huyo JPM yuko kwa ajili yamaslahi yake na familia yake tu.

Pole sana,nilidhani naongea na mwenye akili kumbe napigishana kelele na mwen...............................zimu
We endeleza mapambano nyuma ya keyboard,ila ukijitokeza mtaani ni kipigo tu mpaka utakapojua kujibidiisha na kuacha ulalamishi.Tatizo mmekariri kila anayepingana na nyie anafaidika serikalini.Walalamishi ni wale wale hata wakati wa JK,utazeeka ukiwa mlalamishi.Shauri yako.
 
Yeye Anadhani kwamba ni Mungu mtu na anataka watanzania wamwabudu yeye badala ya Mungu halisi.

Yaani rais mnafiki na mwenye roho ya chuki na vinyongo kama huyu, hahitajiki kuliongoza taifa hili
Hayo ni mawazo yako!! Kwafitina zako na uchama wako, unapoteza muda tu! Pambana namaisha yako ujipatie ridhik ukamilishe life cycle ya hapa dunian, muache rais afanyekaz, najua sio lazima umpende wew ila sis tulio mpakula bado tunampenda! Hata wew hupendw na wote, so keep calm!!
 
K
Lazima uongee kiwehuwehu maana umeshajikatia tamaa

Utabaki kukodoa mimacho anayekula ni bashite na baba ake

Msitufanye sie wajinga pumbavu zenu
Kama sio wajinga jitokezeni hadharani mtenguliwe,sio mnajificha nyuma ya vi Tecno vyenu.
 
Njaaa baba njaaa matumbo Panama hali si hali!!!
 
Huoni hata machinga wasiolipa kodi waliofungua maduka mbele ya maduka ya walipakodi kariakoo?
Humuoni machanga anaezalisha taka asie na dustbin kariakoo halipi gharama za uchafu ilihali mwenye chombo cha taka asiezalisha taka aliefungiwa ndani na machinga akilipapa pesa ya taka kwa mwezi elfu thelathin?
Huwaoni hata wanafunzi walionyimwa mikopo wapo home wamekubali yaishe?
 
Back
Top Bottom