Ndugu mtoa hoja,
Nakubaliana na hoja yako kwa asilimia 100%.
Ikumbukwe kwamba tumeibiwa sana kwa muda mrefu sana, na hakuna aliyethubutu kuleta njia yoyote ile zaidi ya kupiga 'mdomo' bila hatua yoyote ile. Rais amejaribu na kuonesha uthubutu wa hali ya juu, tunachopaswa kufanya ni kumuunga...
Pole sana ndugu yangu,
Awali ya yote, nikupongeze kwa kuwa mwanamme aliyekomaa mwenye uwezo wa kukaa na jambo kifuani. Wewe ni mwanamme kati ya wanaume, kwa jinsi ilivyo kushughulikia suala la ndoa yako.
Sasa nitoe ushauri wangu:
Kwanza naomba utulie sana kabla ya kufanya maamuzi yoyote yale...
In real sense, we have all rights to amend any kind of contract signed whatsoever as far as we see a genuine need. The resources are ours, none can just come with his/ her papers and simply rob us.
The time for change is come, and now is the time.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mimi nilipokuwa nikisikia jf, nilijua ni.mahala ambapo watu huchangia hoja kwa umakini zaidi. Nilipojiunga, nashangaa wakati mwingine kuona upuuzi unaopostiwa na baadhi ya watu. Kuna wakati najiuliza: Huyu naye alikaa, nikafikiri kwa kina kabla ya kuandika hicho alichokiandika?????? Hata...
Mtoa hoja,
Wengine wanapinga kwa kuwa pengine hawakuwepo wakati huo, au labda walikuwepo ila kwa vile hawampendi Lissu, au labda hawajui katiba ya nchi inavyosema, au pengine wanajua, walikuwepo na wameamua tu hivyo wanaona ni vyema kupinga. Poleni sana.
Nendeni Kenya muone Raila Odinga jinsi...
Mwalimu Nyerere, Mzee Mwinyi, Mzee Kikwete, walifanikiwa kutawala na kumaliza nyakati zao kwa kuwa walijua namna ya kuishi na watu, kauli nzuri hasa kwa waliowapinga, na namna ya kusoma ''alama za nyakati''. Dunia ya leo huwezi kuwafunga watu ''mdomo'' kwa kutumia nguvu za dola, kamwe...
Ndugu mtoa hoja,
Nadhani ufikiri tena kidogo angalau: Ujinga si tusi, ila upumbavu ni tusi. Kila mtu ni mjinga wa jambo fulani maishani hadi anakufa!!!!! Isipokuwa Ukitaka kulikuza neno ''mjinga'' ndo litakuwa tusi.
Pili: Kama Lissu amefanya uchochezi, ni vyema ikaainishwa kwamba kamchochea...
Kuna kosa huwa tunafanya ktk majibu tunayotuma ktk mitandao ya jamii.
Tunajibu mambo ya msingi kwa majibu mepesi na ya ajabu ajabu kama vile kila kitu ni mzaha. Kibaya zaidi, jamii inasoma kila tunachoandika. Pengine waweza kuona ni sifa, japo mimi naona ni ''sifa za kijinga'' (Mniwie radhi kwa...
Well, Pengine mama mkwe anajua binti yake alikuwa anajua hayo mambo hivyo anakutaarifu usijidhanie ni mgeni wa mambo ya faragha.
Pili: Huwezi jua mawasiliano na binti yake yakoje, labda binti alimtaarifu kuhusu ''uwezo na ujuzi wako'' kwa mambo hayo, hivyo pambana kwa hali na Mali.
Tatu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.