Manga ML
JF-Expert Member
- Jul 6, 2013
- 9,805
- 15,522
Ni kweli cm haifai kwa wagonjwa wa aina yake kuepusha mstuko lakini akipata za kuchekesha zitamfaaKwakweli tunategemea mwezi wa 8 atatoka hospital. Halafu mie nikienda Ndio anapata simu ya kuingia jf,Maana ameshauriwa asitumie simu. Kwahiyo nikienda Mimi anapata Hata dakika kumi za kuingia jf na kucheka Cheka.
Hivo anawatupia like
Mwambie tunaziona mpe faraja swaiba wetu wote.