Ni malibukemi tu ndiyo wanaweza kumkebehi Gadaffi. Kitendo cha NATO kumpiga mabomu watu Libya ni ubeberu ambao umejidhihirisha wazi wazi Afrika . Kwa nini hao NATO wasiende kulinda Waparestina dhidi ya Israeli . Angalia kinachofanyika Yemeni , Bahrain , Saudi Arabia lakini kwa vile NATO...
Wana JF naomba taarifa kuhusu hizo scholarship kama ni mpaka utoe hela ?
Kwanza , Nilifanya usaili hatua ya kwanza na ya pili , lakini nakumbuka kuwa mtu aliyeshinda ni mtu ambaye aliniambia siku ya usaili kuwa yeye aliletwa katika Mastes program niliyoombwa na wenzagu watatu tu kutoka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.