Recent content by ktman2

  1. K

    Mtalaam wa website

    Wana jamvi , nimeanzisha ka NGO kangu natafuta mtalaam wa kunitengenezea ka website ambako si a ghali sana . Email yangu - mn04363@googlemail.com
  2. K

    African Union recognises Libya's NTC

    Hii eu haina hata mwelekeo bora hata oeyu
  3. K

    The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

    Ni malibukemi tu ndiyo wanaweza kumkebehi Gadaffi. Kitendo cha NATO kumpiga mabomu watu Libya ni ubeberu ambao umejidhihirisha wazi wazi Afrika . Kwa nini hao NATO wasiende kulinda Waparestina dhidi ya Israeli . Angalia kinachofanyika Yemeni , Bahrain , Saudi Arabia lakini kwa vile NATO...
  4. K

    Tume ya ajira tanzania

    Si hivyo tu , katika usaili huu Audit mtarajiwa kuulizwa na mambo ya uchumi inasaidia nini ? /kuboresha kitu gani ?
  5. K

    KOICA Scholarship ama Kanya boya tu?

    Wana JF naomba taarifa kuhusu hizo scholarship kama ni mpaka utoe hela ? Kwanza , Nilifanya usaili hatua ya kwanza na ya pili , lakini nakumbuka kuwa mtu aliyeshinda ni mtu ambaye aliniambia siku ya usaili kuwa yeye aliletwa katika Mastes program niliyoombwa na wenzagu watatu tu kutoka...
  6. K

    Pata ufahamu na elimu dhidi ya ugonjwa wa Mafindofindo (Tonsils)

    Ninapokunywa soda ama bia baridi huwa nasuburiwa na vidondo vya koo, Wana JF nini dawa yake?
Back
Top Bottom