Original Pastor
JF-Expert Member
- Nov 14, 2007
- 1,274
- 50
Du nashukuru maana hata nilifikiria OP. lakini sasa unaweza kuded sasa cha kufanya itabidi nipate mawazo zaidi wakuu nashukuru sana kwa michango yenu bora.
Maneno hayo. Nimeshasikia wengine hufanyiwa operesheni ya kuyaondoa kabisa, lakini usithubutu kufanya hivyo maana nimeshasikia matukio machache ambapo wagonjwa waliokubali kufanyiwa operesheni kufariki.
Du nashukuru maana hata nilifikiria OP. lakini sasa unaweza kuded sasa cha kufanya itabidi nipate mawazo zaidi wakuu nashukuru sana kwa michango yenu bora.
<br /><br />anaweza kuwa na tonsils za muda mrefu (mafindofindo)? je,ana maumivu kooni? ni vizuri akaenda kumuona daktari ili apate matibabu sahihi.
<br />&lt;br /&gt;<br /><br />
&lt;br /&gt;<br /><br />
Anasikia maumivu chini ya kifua mithili ya majeraha kwa ndani. Kwani takribani 3yrs ago, alipata ajari ya kupinduka kwenye gari. Kwa mujibu wa maelezo yake,hakupata majeraha yoyote alijisi<br />
kia yupo sawa.
Pole!!
Sukutua na maji ya uvuguvugu yenye chumvi kidogo mara kadhaa kwa siku.
Alafu kunywa vitu vya moto sana (supu, chai) au vya baridi sana (juice, maji) .