Recent content by Kristonsia Nkya

  1. Kristonsia Nkya

    Waziri Mkuu: Wanaolalama kupata ongezeko la 20,000 ni wale wenye mishahara mikubwa

    Jambo la msingi wafanyakazi ni kutafuta vyanzo vingine vya mapato nje ya mshahara
  2. Kristonsia Nkya

    Taifa limekuwa la kamari. Kila kona kila mahali kamari. Watu wanaibiwa pesa zao

    Walio kuwa wanauza viroba walikuwa wakwepa kodi? Mbona vilipigwa ban?? Kutetea upumbavu kz sana
  3. Kristonsia Nkya

    Arusha mmebarikiwa kuwa na huyu nabii mkuu GeorDavie

    [emoji23][emoji23][emoji23] NUY Fm 93.3 Ndo nasikiliza hapa shida tupu jamaa wanavyonyenyekea utadhan ye ndo Yesu Wana wa ufalme wanajiitaga bwana
  4. Kristonsia Nkya

    Arusha mmebarikiwa kuwa na huyu nabii mkuu GeorDavie

    Yupi hyo! Huyo ambae anawapangiaga sadaka ya kutoa au? Maagizo jumapili utafunga na utakuja na sadaka ya 20000 [emoji23][emoji23][emoji23] Hao mabalozi wa baba wanavyontukuza sasa khaa
  5. Kristonsia Nkya

    Vita ya Urusi na Ukraine: Putin aonya “Yeyote atakayeingilia atapata pigo la kihistoria”

    Chama cha mbogamboga hakijatoa tamko tu hadi sahv?😂
  6. Kristonsia Nkya

    #COVID19 Serikali: Tunakusudia kuchanja Watu 100,000 kila siku

    Wacha wee [emoji854][emoji854][emoji854]
  7. Kristonsia Nkya

    Wasanii msishindane na Diamond Platnumz mtafilisika. Yupo level za kina Bakhresa

    Kuna watu huwaambii lolote kuhusiana na huyu mtu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Wanaweza hata kumwabudu
  8. Kristonsia Nkya

    Wakuu msaada hawa kikuu vipi

    Simple tu mzee mpesa master card Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Kristonsia Nkya

    Wakuu msaada hawa kikuu vipi

    Broo tulia kwanza nikutoe wasiwasi mzigo wako utaupata pili kumbuka vifaa vya mlipuko kwa kikuu huwa vinachelewa sana Mwisho: Simu nunua Aliexpress hata kudai refund ni simple ila huko kikuu jiandae
  10. Kristonsia Nkya

    Watanzania tuwe wamoja katika kipindi hiki kigumu

    Mmmh Sent from my Redmi Note 8 using JamiiForums mobile app
  11. Kristonsia Nkya

    Tushirikishane 'Apps' nzuri za simu za Android

    Unataka app gani ?? Zipo store nyingi sana Kuna aptoide au happymood au ac market au apk4all au blackmart Ni wewe tu Sent from my Redmi Note 8 using JamiiForums mobile app
  12. Kristonsia Nkya

    USB Flash

    Si uchukue hapo kikuu mzee
Back
Top Bottom