Recent content by Kristonsia Nkya

  1. Kristonsia Nkya

    Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

    Ni kweli kabisa mkuu mi nipo na redmi note 13 pro + unyama sana aisee
  2. Kristonsia Nkya

    Dingi jau sana huyu 😆😆 (WWE WrestleMania 2025) Day 1

    Huyu dingi haeleweki aisee khaa😄😄
  3. Kristonsia Nkya

    Waziri Mkuu: Wanaolalama kupata ongezeko la 20,000 ni wale wenye mishahara mikubwa

    Jambo la msingi wafanyakazi ni kutafuta vyanzo vingine vya mapato nje ya mshahara
  4. Kristonsia Nkya

    Taifa limekuwa la kamari. Kila kona kila mahali kamari. Watu wanaibiwa pesa zao

    Walio kuwa wanauza viroba walikuwa wakwepa kodi? Mbona vilipigwa ban?? Kutetea upumbavu kz sana
  5. Kristonsia Nkya

    Arusha mmebarikiwa kuwa na huyu nabii mkuu GeorDavie

    [emoji23][emoji23][emoji23] NUY Fm 93.3 Ndo nasikiliza hapa shida tupu jamaa wanavyonyenyekea utadhan ye ndo Yesu Wana wa ufalme wanajiitaga bwana
  6. Kristonsia Nkya

    Arusha mmebarikiwa kuwa na huyu nabii mkuu GeorDavie

    Yupi hyo! Huyo ambae anawapangiaga sadaka ya kutoa au? Maagizo jumapili utafunga na utakuja na sadaka ya 20000 [emoji23][emoji23][emoji23] Hao mabalozi wa baba wanavyontukuza sasa khaa
  7. Kristonsia Nkya

    Vita ya Urusi na Ukraine: Putin aonya “Yeyote atakayeingilia atapata pigo la kihistoria”

    Chama cha mbogamboga hakijatoa tamko tu hadi sahv?😂
  8. Kristonsia Nkya

    Serikali: Tunakusudia kuchanja Watu 100,000 kila siku

    Wacha wee [emoji854][emoji854][emoji854]
  9. Kristonsia Nkya

    Wasanii msishindane na Diamond Platnumz mtafilisika. Yupo level za kina Bakhresa

    Kuna watu huwaambii lolote kuhusiana na huyu mtu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Wanaweza hata kumwabudu
Back
Top Bottom