Operation komboa familia,,,,, pole sana kwa binti yetu maana nguvu za giza zimemtesa vya kutosha,,,, Lakin Jina la Yesu lihimidiwe sasa na hata milele,,, ningefurahi sana kama huu muujiza ambao Bwana amekutendea ningeusikia pale arise and shine maana nmekuwa mdau wa kufatilia sana hiki kipindi...