ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,579
- 44,825
Sio mfuatailiaji sana Wa tamthilia ya mwantumu DSTV nimeangalia Mara kadhaa ila sikuwahi kutambua kama kaboba ni Joti.
Kama kwa hakika joti ana kipaji siku zote nilidhani kaboba ni msanii mwingine kabisa anayevaa tu mindevuna kitambi Leo mtoto mdogo ndo kanisanua kuwa yule huwa ni joti.
Kweli Joti unajua ila kwa sasa standup comedy wanafanya vizuri sana kuanzia wa Cheka tu Na wasanii Wa G viper kina ndaro mjeshi, Steve, TX Dullah Mnyama, Black, Leonardo n.k wote hao wanajua ila hawawezi kubadilika kama wewe.
Kama kwa hakika joti ana kipaji siku zote nilidhani kaboba ni msanii mwingine kabisa anayevaa tu mindevuna kitambi Leo mtoto mdogo ndo kanisanua kuwa yule huwa ni joti.
Kweli Joti unajua ila kwa sasa standup comedy wanafanya vizuri sana kuanzia wa Cheka tu Na wasanii Wa G viper kina ndaro mjeshi, Steve, TX Dullah Mnyama, Black, Leonardo n.k wote hao wanajua ila hawawezi kubadilika kama wewe.