Sababu kubwa na ya msingi ni MAUMBILE
Wanaume wanaoa ktk umri mkubwa wanawake wanaolew ktk umri mdogo hii inatokana na kuwa wanawake kazi yao n kutengeneza watot hvyo wanatakiwa waende kwa waume umri kati ya miak 16 - had 45 baada ya hapo wana relax na kupumzsha mwil, wakat wanaume wanatafuta...
Hio ndio siri ya biashara mkuu inataka ujitoe 100% haitakiwi uwe na options, na huyo jamaa yako anajua vizur biashara ..kinachohitajika wew ni uchague ARE U YOU IN OR OUT biashara haihitaji mguu ndan mguu nje inakuhitaji muda wote hadi pale itakapotengemaa
Ushauri wangu wekeza ktk field ambazo...
Hakika Magufuli alikua mwanajeshi katika uwanja wa vita, kama binadamu hakosi kasoro na hakua mkamilifu ila alipigana jihadi ya kufa na kupona kwa kile alichokiamini kina manufaa kwa mama Tanzania.
Alihakikisha anakufa kiume ktk uwanja wa mapigano bila kuhofia bila kuchoka.
Ameacha legacy ambayo...
Madalali wanatoa huduma kwa mahitaji ya mteja anaweza akawa mwenye nyumba au mpangaji, mara nyingi kwa upande wa vyumba, wapangaji ndio huwatafuta madalali hvyo wanapaswa kulipia hudum a na hlo wanalijua.
Ukija ktk zile nadharia simple za demand n supply hayo matamko ya kisiasa hayateklezeki.
Mkuu nami hio simu nilikaa nayo mwaka mmoja nikampa wife akakaa nayo miaka mitatu ikaja kuzima tu hadi leo ipo home
Sent from my TECNO CC6 using JamiiForums mobile app
Kwa maisha ya Kitanzania muweka mada anajua ni anaweza kuwa na elimu na mali na mafanikio yote ila kama hatakua na mtu sahihi wa kutengeneza familia pamoja na watoto bado hajafikia ile maana ya mafanikio.
Na hao watu sahihi mentality zao mwanamke akiwa na mali na elimu anakua tena sio sahihi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.