Story za mtaani kuhusu umafia wa madalali

amesema ile pesa anayochukua dalali kutoka kwa mpangaji inatakiwa ilipwe na mwenye nyumba.
Madalali wanatoa huduma kwa mahitaji ya mteja anaweza akawa mwenye nyumba au mpangaji, mara nyingi kwa upande wa vyumba, wapangaji ndio huwatafuta madalali hvyo wanapaswa kulipia hudum a na hlo wanalijua.
Ukija ktk zile nadharia simple za demand n supply hayo matamko ya kisiasa hayateklezeki.
 
Hapo mwenye nguvu ni serikali (police) na police ni mtu anae weza kula dili na yeyote yule regardless n dalali au sio.

Mfano kipind nipo chuo wazazi walikuwa wanakula dili na mabinti zao wadogo wa eneo hilo kwamba msimu wa boom likitoka tu hivyo vibinti vinajilengesha kwako halafu kakisha fanikiwa kukuseti na umekaa nako room au geto unakuta wazazi na polisi hawa hapa wanakukamata kuwa unatafuna watoto wa shule hapo wakuvune hata laki tatu halafu haoo
Hii ndio bongo.
 
Nasema madalali Wana mtandao mkubwa.Fikiria Waka enda kwa mkuu wa kituo Cha polisi na kuwaka wazi biashara yote na kupewa nyara ya serikali ili wamlipue jamaa.Narudia madalali so wakubezwa hata kidogo.
Mkuu hao jamaa sio kwamba wanao mtandao mkubwa ila ni njaa za polisi kuanza kushirikiana na yeyote anae weza kuonyesh anataka kuwatengenezea ulaji.

Kama ukiogopa hao madalali kwa sababu wanaweza kukaa meza moja na mkuu wa kituo basi utakuwa unakosea kwasababu hao wakuu wa vituo wanaweza kukaa meza moja na yeyote yule ilimrad tu kuwe na pesa haijalishi kesi inahusu mirathi, wizi, udalali, mauaji yaani vyovyote
 
Kuna namna ya makubaliano ndio Mana madalali Sasa hivi isue ya pesa ndefu mnasainishana Tena kwa mwanasheria, mfano nyumba unauza 100M ukawaambia madalali uzeni muwezavyo Cha juu chenu, hapa hata Kama akiuza 500M uzimlaumu, Kama hutaki mogogoro na wao Basi kubalieneni kwa utamlipa kwa asilimia kadhaa, hata akiuzaje Basi Ni kwa asilimia kadhaa
 
nako room au geto unakuta wazazi na polisi hawa hapa wanakukamata kuwa unatafuna watoto wa shule hapo wakuvune hata laki tatu halafu haoo
Kitaa...nilishalengeshwa nimfudishe mwanafunzi wa kidato cha tatu....nikastukia mchezo. Nikamwambia kama anataka kufundishwa nyumbani/chumbani kwangu aje na wazazi wake wote. Namfundisha nikimaliza wazazi wake wawmchukue. Biashara iliishia pale pale!
 
Mnawakuza sana hao madalali.

Mnawekeana makubaliano, akivunja mnaweka terms upya.

Nimetaka mteja wa 100m wewe umeleta wa 400m, mnaanza upya akubaliano.
 
Kitaa...nilishalengeshwa nimfudishe mwanafunzi wa kidato cha tatu....nikastukia mchezo. Nikamwambia kama anataka kufundishwa nyumbani/chumbani kwangu aje na wazazi wake wote. Namfundisha nikimaliza wazazi wake wawmchukue. Biashara iliishia pale pale!
Hongera sana mkuu uliona mbali, wazazi wengine especially wale wa familia duni ambazo elimu ipo chini huwa wanatabia ya kulengesha watoto wao kwa wanafunzi aidha wakupige pesa au wakufungishe ndoa ya mkeka.

Trust me when you take the bait utakuwa huna option nzuri zaid ya kusikiliza demands zao maana ukikataa tu kunakuwa na police kaandaliwa kwa ajili ya kukubeba papo hapo
 
Hili ndio tatizo mkuu hao polisi ndio wadhaifu sana ila madalali wanao weza kukuletea mdhara physical hawafiki asilimia mbili ya mdalali waliopo nchini zaidi zaidi utaambiwa wanatumia dark art
Ndio wanatumia dark arts.
 
Mimi nyumba yangu ukiniletea mteja wa 400M alafu eti nikuachie 300M kisa nilikwambia nataka 100M kwa kifupi Mimi sitakuonyesha ubishi wowote nitafanya makubaliano ni lini nitakupa hela yako lakini nakuhakikishia siku hiyo hiyo hautafika kwako nitakupiga risasi kwa mikono yangu kabla hujakutana na familia yako.

Yani nakuuwa hili naliongea kutoka moyoni kabisa tena sikutumii majambazi wala nini nakupiga risasi mimi mwenyewe tena siyo risasi moja maana kukutumia watu inaweza baadae ikavuja majambazi wengine mioyo midogo hawakai na siri, hii dunia haipo wala siyo makazi sahihi kwaajili ya wanyonge ili ufanikiwe unatakiwa uwe mafia maana hata wewe nikikuacha utaniwahi.
Hio ndo maneno lakini umeiweka kizembe sana. Hawa jamaa hawafanyagi dili kimyakimya, wanashirikishana. Hii inaitwa kulindana, leo kwako kesho kwangu so akipata mmoja wengine hawakosi hata yale 'makombo/mabakibaki' hizo ndo lugha zao.

So lazima wakufwate wakuulize "vp mzigo wa mwenzetu umeshawapa familia yake?" Wakikushtukia umefanya kitu mbaya basi jua hio ni vita kubwa balaa, utashambuliwa kutoka kona zote. Kwasababu marehemu mwenzao waliheshimiana sana, walilindana sana na hata hilo dili la mwisho walitegemea kulindwa!

Kwaio kwa kifupi tu mkuu, hio muvi ni ngumu sana kuicheza!
Na hakunaga makubaliano ya "lini nikupe hela yako", pesa inatolewa hapohapo! Hailali. Wanaelewa vizuri justice delayed is justice denied!!!
 
Ndio wanatumia dark arts.
Sasa dark art hiyo ni battle nyingine kabisa na unaweza kuipata kwa mshindani wako wa biashara, mshindani wa kisiasa, hata shule tu unaweza kuipata vizuri. Na kiukweli hii art kila mtu ana njia zake za kuidhibiti kwa hiyo hii ni vita ambayo mshindi hajulikani kirahisi.
 
Mnawakuza sana hao madalali.

Mnawekeana makubaliano, akivunja mnaweka terms upya.

Nimetaka mteja wa 100m wewe umeleta wa 400m, mnaanza upya akubaliano.
Biashara haifanyiki!! Tafuta mteja wako utakaemuuzia kwa 400m sio huyu alieletwa na madalali
 
Hili ndio tatizo mkuu hao polisi ndio wadhaifu sana ila madalali wanao weza kukuletea mdhara physical hawafiki asilimia mbili ya mdalali waliopo nchini zaidi zaidi utaambiwa wanatumia dark art
Dark art wanayotumia kumsokota boya aje kununua property yako kwa 4x ya bei ni nzuri kwako, ila inapotumika kukumaliza pale unapowadhulumu haki yao ndio inakuwa mbaya sio??

Hii inaitwa mkuki kwa nguruwe mtamu
 
Dark art wanayotumia kumsokota boya aje kununua property yako kwa 4x ya bei ni nzuri kwako, ila inapotumika kukumaliza pale unapowadhulumu haki yao ndio inakuwa mbaya sio??

Hii inaitwa mkuki kwa nguruwe mtamu
Sasa dark art inakuwa ni battle tena sio ile ya kwamba kuna predator na prey. Hapo hata yeye anaweza kupotezwa maana hajui mimi natumia mbinu gani kujilinda
 
Sasa dark art hiyo ni battle nyingine kabisa na unaweza kuipata kwa mshindani wako wa biashara, mshindani wa kisiasa, hata shule tu unaweza kuipata vizuri. Na kiukweli hii art kila mtu ana njia zake za kuidhibiti kwa hiyo hii ni vita ambayo mshindi hajulikani kirahisi.
Wewe unaongelea ushindani?

Dalali anatoa wapi muda wa kushindana na mtu aliemdhulumu haki yake?
Yeye anakumaliza tu, short n clear!
 
Sasa dark art inakuwa ni battle tena sio ile ya kwamba kuna predator na prey. Hapo hata yeye anaweza kupotezwa maana hajui mimi natumia mbinu gani kujilinda
Acha kujidanganya wewe, kawaulize matajiri wakubwa mjini wanaotumia dark art Kama dalali anadhulumiwa

Ukileta dark art unapewa lead!
 
Hio ndo maneno lakini umeiweka kizembe sana. Hawa jamaa hawafanyagi dili kimyakimya, wanashirikishana. Hii inaitwa kulindana, leo kwako kesho kwangu so akipata mmoja wengine hawakosi hata yale 'makombo/mabakibaki' hizo ndo lugha zao.

So lazima wakufwate wakuulize "vp mzigo wa mwenzetu umeshawapa familia yake?" Wakikushtukia umefanya kitu mbaya basi jua hio ni vita kubwa balaa, utashambuliwa kutoka kona zote. Kwasababu marehemu mwenzao waliheshimiana sana, walilindana sana na hata hilo dili la mwisho walitegemea kulindwa!

Kwaio kwa kifupi tu mkuu, hio muvi ni ngumu sana kuicheza!
Na hakunaga makubaliano ya "lini nikupe hela yako", pesa inatolewa hapohapo! Hailali. Wanaelewa vizuri justice delayed is justice denied!!!
Hicho kitu Ni kweli kabsa madili yao makubwa lazma washirikishane na hata ukimrusha mmoja Lazma wengne wajue na kazi ya udalali Mara nyingi Ni connection unaweza kuta mm Hapa nidalali umenikabidhi nyumba nikaleta mteja lakini SAA zngne Huyo mteja sijampata mm kampata dalali mwenzangu so Kuna chain pale at the end of the day hata Kama ukitaka kunirusha mm Lazma ukumbane na vita ya watu wengi na sisi binadamu kila mtu anamaamuzi yake mm unanidhurumu nasamehe lakini mwngne atataka tu kulipiza kisasi so ndo circle inavoenda...
 
Habari ya dalali kuja kuuza mali yake mwenyewe in future inahusiana nini na biashara iliyopo currently?

Vp mkuu? Unaomba kitu kwa lazima?

Ni sawa na umuazime mtu gari alafu umkute kapakiza demu mkali ambae hata hujawahi kufikiria kama utakuja kushika mkono wa mwanamke kama huyo ( design ya wale unaishiaga tu kuzini nao kimawazo unapowaona kwenye runinga, porn etc), Yani toto toto, zigo zigo, hatari balaa. Alafu huyo uliemuazima ndo anaenda kumaliza, wewe ulete tamaa zako kwamba kwasababu gari ni lako na wewe unafosi ukale! 😂😂😂😂😂 utaliwa kavukavu na utashika ADABU!
Njoo nikupe proparty uniuzie nikuletee tamaa ujaribu kuniua.😆😆😆
 
Back
Top Bottom