Madalali wanatoa huduma kwa mahitaji ya mteja anaweza akawa mwenye nyumba au mpangaji, mara nyingi kwa upande wa vyumba, wapangaji ndio huwatafuta madalali hvyo wanapaswa kulipia hudum a na hlo wanalijua.amesema ile pesa anayochukua dalali kutoka kwa mpangaji inatakiwa ilipwe na mwenye nyumba.
Ukija ktk zile nadharia simple za demand n supply hayo matamko ya kisiasa hayateklezeki.