Recent content by krava

  1. krava

    Dodoma: Rais Magufuli apokea ripoti ya uhakiki wa vyeti vya watumishi wa umma, awataka wajitumbue

    Mungu ameona jumuia za kimataifa zinaona Tanzania haiaminiki tena Kama kuongoza ni kuonyesha njia tuambieni kwa kujipendelea nyie wanasiasa mnatuonyesha njia gani?
  2. krava

    Maandalizi yanaendelea, wanaodhani Korea Kaskazini atapona waendelee na udhanifu wao

    Nk imekukosea nini mpk ifutwe kwenye USO wa dunia?
  3. krava

    Mzee Ernest jumbani principle wa mpwapwa enzi hizo uko wapi Mzee wetu

    Asante sana mkwepa kodi kwa wasiomjua jumbani ana sifa nyingi za kipekee nikipata muda nitaziweka hapa ni MTU safi sana cjui kwann hawamtumii serikali
  4. krava

    Nilibadilika mwonekano na kung'aa nlipofika sehemu nlipopatia ajali

    Tapeli hilo haya ndio yanajiita manabii pumbavu
  5. krava

    Mzee Ernest jumbani principle wa mpwapwa enzi hizo uko wapi Mzee wetu

    Namkumbuka sana Mzee huyo Ernest jumbani kwa wale walioishi mpwapwa watakuwa wanamkumbuka sana huyu Mzee mungu akubariki popote ulipo
  6. krava

    Nimeamua kutokuoa katika maisha yangu

    Pole sana kaka ila wanawake ni wapumbavu sana aisee
  7. krava

    Mazingira gani ya hatari uliwahi kufanya mapenzi?

    Niliwahi kugonga demu mpwapwa TTC nyuma ya pori kule chuo cha ualimu karibu na mashine ya kusaga miaka ya tisini demu Wangu akang'atwa na nge kwasasa ni mkuu wa nanihiii wilaya ya nanihii kaolewa na nanihii na watoto wake ni nanihii nabnanihii
  8. krava

    Kwa hili mimi nitaoa Rwanda

    Kwasababu wewe ni mtusi
  9. krava

    Kama wanawake husikia raha ya tendo la ndoa kama wanaume, kwanini huhitaji malipo?

    Sina maneno mengi wanawake mnajisikiaje tunapowaingia ndani na kuwakojolea jamani Naomba wajibu wanawake tuuu
  10. krava

    Tahadhari video inatisha: Dada huyu alifanya nini hadi kutendewa haya?

    The question is was the life of that girl served?,
  11. krava

    Naomba kufahamu juu ya explosives factories hapa Tanzania

    Kuitaja mzinga ni kukosa uzalendo acha upoyoyo mazao sio uwanja wa mpira ule wa chamazi kwamba kila MTU anaelekezwa
  12. krava

    Kamanda Mdude CHADEMA Nyagali ashinda kesi ya uchochezi baada ushahidi kukosekana

    Namuona Leonard fumbo kwa mbaaali safi sana kijana fumbo
  13. krava

    Mwenzenu mi naogopa, tayari washaanza kukamata wanaolibeza jeshi

    Huyo ni sawa akamatwe utaongeaje mambo kama hayo Yani watu wanakulinda ulale salama na mkeo halafu unawaombea wafe jinga kabisa
Back
Top Bottom