Nimeamua kutokuoa katika maisha yangu

Nimeamua kutokuoa katika maisha yangu

Ok, ni maisha yako umeamua kila la kheri mkuu
 
me nakuunga mkono mkuu......simamia maamuzi yako
 
IMG_20170422_184731_330.JPG
 
Selfishness at highest!! Unajifikiria wewe tu vipi kuhusu hao watoto? Ndio maisha watakayoyataka?

Hebu kua kwanza.
 
Pole sana kaka ila wanawake ni wapumbavu sana aisee
 
Wakuu,kutokana na kuumizwa sana na watoto wa kike basi nimeamua kutokuoa kabisa na badala yake nimeamua kuzalisha wanawake watatu tofauti watakaokuja kuwa wazazi wenzangu.
asanteni
Huu ni uamuzi bora kuliko mwingne wowote..wengne hapa tunataman kurudisha wakati Nyuma ili tuafanye kama ulivyoamua ww lkn ndio too late.
 
Hata mtume Paulo alishauri kama utaweza heri ubaki peke yako maana hao watu watakuzuia kuiona mbingu, ila kama unaweza na sio unasema huoi lakini unangonoka ovyo
 
Back
Top Bottom