Recent content by Kraut

  1. Kraut

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Inakaa hapo hapo kwenye MDAs & LGAs ikionesha taasisi uliyopangiwa na hiyo Placed as itaonekana kwenye nafasi zote ulizowahi kuomba utumishi,
  2. Kraut

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Sikushauri, bora usubiri pdf. Me ilinitesa sana hii njia ya kuanza kuangalia account before pdf unajikuta kila dakika upo account ngoma inasema selected for oral
  3. Kraut

    Video fupifupi almaarufu kama clip mitandaoni, zinazoelekeza cha kufanya kwenye simu zetu

    *35*0000*16# sms block code Kuitoa #35*0000*16# *35*0000*11# incoming call block code Toa #35*0000*11# Ukitaka block vyote call&sms *35*0000# Toa kwa #35"0000# Nb. Nimeona inakubali kwa tigo, voda na halotel zinafeli, Airtel sijajaribu.
  4. Kraut

    Hivi TRA watakubali ku register kampuni ikiwa ofisi nataka ziwe nyumbani?

    Unaweza kusoma hiki kitabu upate ufahamu kidogo wa kodi na ushuru kwa mwaka wa fedha 2023/24
  5. Kraut

    Hivi TRA watakubali ku register kampuni ikiwa ofisi nataka ziwe nyumbani?

    Kodi ya pango (Withholding Tax) ambayo ndio chanzo cha mjadala mlipaji halisi ni mmiliki wa jengo(Mpangishaji) kwakua naye anafanya biashara ya kupangisha hivyo sheria inamtaka naye kulipa kodi ila kinachotokea ni kwamba mara nyingi mmiliki wa jengo ni ngumu kupatikana wakati wa makadirio hivyo...
  6. Kraut

    Msaada wa ramani ya nyumba hii

    Check hii Source: mtandaoni
  7. Kraut

    Mlioomba NMB Direct Sales Officer mmefanikiwa kufanya Aptitude test?

    Nimescore 65 na sijaiona simu, central zone.
  8. Kraut

    Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

    Habari wakuu, wapi naweza pata mifuko laini kwa bei ya jumla. Nimeattach picha yake hapo chini.
  9. Kraut

    Natafuta kazi au Connection ya biashara

    Bado sijafanikiwa wakuu
  10. Kraut

    Nimetafuta ajira (kazi) kwa muda mrefu bila mafanikio yoyote, Naombeni nafasi nijikwamue kimaisha ndugu zangu

    Me nimemaliza Agribusiness 2018, bado najitafuta kama kuna lolote tupeane support
  11. Kraut

    Natafuta kazi au Connection ya biashara

    Bado sijafanikiwa kupata wakuu
  12. Kraut

    Mlioomba NMB Direct Sales Officer mmefanikiwa kufanya Aptitude test?

    Tutauana, 90 unaipataje pale[emoji849][emoji3]
Back
Top Bottom