Recent content by KOTINA

  1. K

    Nijuzeni jinsi ya kutengeneza tui la nazi bila kutumia kibao cha nazi(mbuzi)

    Ikate vipande vidogo kisha weka kwenye blender weka na maji kidogo,
  2. K

    Mada maalum kwa wapenzi wa Tamthilia ya Isidingo

    Thanx Numbisa. Angie nilijua ana roho ngumu ataeza vumilia maskin. Scene ya jana ametia huruma natumaini hatakufa:(:(
  3. K

    Je ni sahihi kuendeshesha gari peku?

    Mimi pia nilikua siez kuendesha na viatu, kuna siku nikajarbu kuvaa raba nikaendesha though i was uncomfrtble lakin baada ya muda nilizoea, siku hizi siwez endesha peku kabsa tena niki feel vile vimchanga vya carpet vinanikera kweli
  4. K

    Wadada mnapenda kununua nini ambacho mkiwa nacho mnajisikia furaha?

    Napenda viatu, especially a good pair of heels.
  5. K

    Mada maalum kwa wapenzi wa Tamthilia ya Isidingo

    Asante Numbisa, Gabriel ana hatari anapenda kujiweka kwenye mambo ya watu.
  6. K

    Mada maalum kwa wapenzi wa Tamthilia ya Isidingo

    Asante sana Numbisa, Jana Linc ametia huruma kwei yani mwenyewe tu, ila Nikiwe kama anajutia.
  7. K

    Kwa mliowahi na mnaotumia mafuta ya castor oil

    Ya nazi yawe mengi, ratio ya 1:2
  8. K

    Kwa mliowahi na mnaotumia mafuta ya castor oil

    Sijawahi kuyatumia peke yake ila ukiyachanganya na nazi yanajaza na kurefusha nywele. Meusi ndo mazur zaid
  9. K

    Natafuta chuo cha mafunzo ya kutembea kwa viatu virefu

    Ingia youtube kuna tutorial za kutosha, na practice sana hata ukiwa ndani unafanya shughuli zako. vizuri uanze na zie kitten heels au chunky heels ili upate balance afu ndio unaenda unaongeza urefu taratibu.
  10. K

    Mada maalum kwa wapenzi wa Tamthilia ya Isidingo

    Lerato atakua dissapointed sana coz anataka zuki apate wenye pesa.
  11. K

    Mada maalum kwa wapenzi wa Tamthilia ya Isidingo

    Asante Numbisa:)
  12. K

    Ushasikia hii: Mayonnaise wanasema ni ubongo wa wazungu

    Inafanya kachumbari inakua tasty sana, kwa tuliosoma boarding tulikua tunaweka mpaka kwenye ugali maharage.
Back
Top Bottom