Mkuu hizi mbwembwe na masharti ya kuwa na kazi and so on kwa wanawake ni umri kati ya 18 - 29. Huu muda ndio wanakuwaga na masharti kibao wako radhi hata kuwa vimada cha msingi ni pochi yako tu.
Shughuli yao inaishaga wakiwa na 30 na kuendelea, hapo huwaga hawachaguagi wanajua jua limeshazama...
Hivi maulidi kitenge alisharudi Tz kutoka huko? Maana wiki ya pili sasa naona mapicha yake akipost kwenye social media akiwa huko.. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Natamani JPM aamke angalau kwa saa moja ili awaone watu waliokuwa wakimshangilia na kumsifia, then aende uko alipo.
Maisha bila ya unafiki hayaendi kabisa huku Africa.
Hivi hawa wasomi wa kiafrika baada ya kumaliza kisoma, huwa wanaweka taaluma zao ndani ya briefcases na kufikiri kwa kutumia matumbo yao?
Huyu muhongo alikuwa waziri wakati wa JK, na wakati wa scandal ya Escrow alituthibitishia kwamba yale mabilioni ya pesa hayakuwa ya Watanzania. Lakini tume...
Daah huyu jamaa nae alikuwa anaropoka sana, alikuwa hata hajui anafanya nini?
Badala ya kuiongoza yanga ifike pazuri lakini yeye ndio alikuwa tatizo pale yanga, kelele, figisu na majungu yeye ndo mpikaji pale jangwani.
Huyu jaji Elineza Luvanda mara ya kwanza kumuona ilikuwa miaka ya 2011-2013 wakati huko alikuwa ni hakimu mkuu wa mahaka ya wilaya Dodoma.
Kuna jamaa yangu alikuwa anakesi ya wizi alinunua lori la cement ya wizi, sasa yule jamaa yangu akapata washauri wakamshauri aende akamhonge hakimu Luvanda...
Pia kumbuka hizo ni record ambazo zimerekodiwa polisi, madawati ya jinsia na sehemu nyinginezo. Lakini kuna watu ambao hawasemi kama walishapitia hayo aidha kwa kuona aibu au mengineyo.
Kwahiyo record inaweza ikawa kubwa zaidi.
Mbona siwaoni Azam fc?? Sasa yule msemaji wao Zaka za kazi aache kelele kwamba Simba na yanga zinabebwa. Mpira ni uwekezaji, wasajili wachezaji wa viwango vya juu.
Hata huo uwanja wao CAF waliuondoa kwa namungo kuutumia. Sasa wajitathmini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.