Watanzania ndio shida yetu,
Unatakiwa uombe ruhusa likizo au ya bila malipo na malipo. Kama ulipewa taarifa ukiwa kazini kuwa unauguliwa ulipaswa kuandika barua hata kama ni mistari miwili.
Next time omba ruhusa hata kama atakata kwa likizo yako.
Inaweza isiwepo ajali jaribu kutulia siku hizi mtuakiibia simu mijizi/fund viatu inaanza kutuma sms eti ndugu yako yupo hospital tuma pesa asaidiwe wakati yamepiga simu yake.
Masuala ya kiufundi jiongeze. Kama umeweka vocha data ikiwa on, halafu ukajirusha kifurushi, haitakubali kwa sababu imediately inakuwa vocha imepungua hivyo salio halitoshi kupata kifurushi. Hivyo nunua vocha weka ikiwa data ipo off then you will enjoy. Otherwise nunu zile simu za 20,000 kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.