masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,796
- 16,781
Iko unachosema wala si kweli,,itakuwa laini yako hujaipandisha,,uenda mwisho WA muamala kwa laini yako kwa siku Ni milioni,,sasa kiasi unachotaka kutuma kinazidi muamala wako kwa siku,,mi sasaivi hapa nimemtumia mtu milioni mbili Na imeenda Na kwenye simu imebakia M.2.5...voda Ni mtandao bora Na salama kwa hp tz,,,aswa kwetu sisi wafanyabiashara wa Kati.
ha ha ha acha nicheke tu
ila kama hizo sio tambo basi unaumizwa bila kujua
voda ni WAHUNI