Ok pole kwa yote....ila ukipata mwanamke mwingine usirudie tena,michepuko inaharibu sana ndoa,wewe unaweza kuona ni kitu kidogo ila mwenzio hawazi hivyo....msamehe uwe na amani moyoni!
Nilikuwa na mawazo kama yako lakini sikutaka mapovu ya watu na mabishano......
Nikawaza ina maana nimeona mimi tu tofauti!?
Mvunja ndoa ni mwanandoa,ndoa na iheshimiwe jamani....
Kweli wewe ndiyo ulifanya nijiunge rasmi Jf ,mada zako zilikuwa zinanivutia sana ila siyo zile za ndumba😀😀,nilikuwa wakusoma tu napita....
Hongera sana bro Mshana.
Labda na yeye anaona unatumia pesa kumhadaa tu kimapenzi, tena na hivyo una gari,si unajua watu wenye pesa walivyo?
Vumilia tu na yeye anakusoma bado,kama utasusa au la.
Hapana ndugu majibu yangu nilikuwa na mjibu lizarazu alivyokuwa anasema na kuuliza,kama ni mada kaibadili lizarazu.
Na pia wengi tu wameongelea hili suala kimaisha yetu ya kila siku zaidi.
Afadhali wewe siyo wale wengine wanaosema, "mwanaume rijali hawezi kuwa na mwanamke mmoja" yaani wanajihalalisha kwa sifa za kipumbavu mwisho wa siku wanaacha watoto bila wazazi kwa magonjwa ya kuleteana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.