Umekurupuka au hujamwelewa vizuri. Ummy hakusena watoto walipie dawa, amesema labda wanaweza kununua dawa kama haipo hospitality kwa sababu ni vigumu kwa dawa zote kupatikaba vituoni kwa 100%
Mwanadamu hawezi kuishi bila kufanya ibada. Sema wewe umebadilisha wa kumwabudu tu na sio kwamba umeacha ibada. Ni lazima au imwabudu MUNGU muumbaji au mungu.
Unataka awe na degree ya nini ili imsaidie nini anachopungukiwa. Unahisi kila mtu anatakiwa kuwa na degree? Tueleze kwa nini unaona degree ni kitu muhimu? Rais jiwe ana degree ngapi?
Nyerere hakuwa na maono, alikuwa dikteta uchwara pia, ndio maana aliandika katiba mpya mwaka 1977 akajirundikia madaraka yote katika jamhuri. Alijimilikisha madaraka ya kila uteuzi. Alipoondoka hakukumbuka kurekebisha mapungufu haya. Ona sasa anavyomtesa jiwe, kiongozi mteule wa malaika, miaka...
Kwani kipindi mnaweka bomba la gesi, stiglers haikuwepo? Au mlikuwa hamjafanya upembuzi yakinifu kujua which is the cheapest. Ukweli ni kuwa CCM haina master plan ya maendeleo ya nchi hii. Kila mkulu anaekuja lazima abuni miradi yake shagalabagala ili mradi atengeneze upenyo wa kupiga pesa. Huyu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.