Vitu vingine vya ajbu aseh....hiv kwann binadam ndo awe muhukum kwa dhamb za mwenzie??? Kwan ukiwa umefunga unalzmshwa kula? Kwenda baa kunywa? N.k? Hiv km umefnga ndo hurusiw kujitaftia ridhik??? Yan tatizo watu wanajifnya wanaielew dini had wanaptiliza mwisho Wa sik wwnageuk kuwa ndo watenda...
Kwan ni lazima binadamu wote tufikiri sawa??? Kila mmoja anatakiwa kusimamia kile anachokiamin iwe ktk siasa au maisha tu ya kawaida....hvyo sion haja au sabbu ya bwana shigongo kujitesa kujua kwann mh lissu hayupo km wanavyotaka wao.....kina lissu wangesema wawe km kina shigongo wanavyotaka...
Mi nimependa prof amekiri haya mambo kisomi....kwahy heshima tu ndo inatunzwa ndo mana hata wasasa hawez kubali kubadili katib ktk kipengere hiko mana anajua yanaweza mkutaaa
Ironically.... You say something is X while you know exactly it is not X may b t z Y or Z...kwhy ilo ni dongo kwa wabunge Wa ccm waliokua kila miaka wanapitisha vitu vya kipumbavu ili kuwaunga mkono wenyevit wao Leo yametokea hayo wanageukana
Uwage muelewa km huwez kufikilia ukiwa umevaa shat bas baki tumbo waz ufikilie mambo mepes km haya....hicho wanachokifny ni kuwakmbsha wabunge wa ccm kuwa hta mambo ya msingi kwa taifa hili yalipokua yanajadiliwa hasa kwa hoja madhubuti kutoka kwa wapinzan wao ccm walijiona hodar sana kusimama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.