Jifunze kumuacha aende

Jifunze kumuacha aende

Aaah mimi nimemuacha aende nashangaa bado ananichungulia tuu dirishani sijui alikuwa ana bipu

Sent using Jamii Forums mobile app
Umefanya vyema,kumng'ang'ania ni kujiumiza KIAFYA si nzuri
Ukitaka usiumizwe,kuwa SINGLE.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna muda unahitaj MWENZA,
nashukuru mungu alinipa moyo wa kuwaacha waende zao..biashara za kulilia au kubembelezana na binti sinaga asee...
Jambo zuri japo wengi hushindwa,sijui kwanin?
Tatizo moyo

ushauri wa bure
Usiuendekeze Moyo,moyo hauoni ila wewe ndo uatumia macho kumuona anayekuumiza,mbona naona kama jambo gumu sana kuendelea na mtu anayekuzingua,INAWEZEKANAJE?
Muda unaponyaga though ni ngumu si rahisi..
May be ngumu,ila look forward.Mtu anakuzingua mtaishije?
Hayo mambo in rahis sana kuyaandika ila sio kuyatenda usiombe yakukute Me too
Na hata kuyatenda rahis pia kama UNAJITAMBUA
nilijitahid kumwacha aende duh niliishia kuumiza moyo tu wenye vpaji vyao wengine tunafeli kufanya hivo
Huyo HAJAKUUMIZA wewe,ukiumia mwenyewe utamruhusu
Umenena mkuu ilaa.. Tatizo moyo wa kumuache naukosa jamani..!! Nawaza baada ya yeye atakua nanii? au ndio ntakutana na moto mpya!

young kilimanjaro
Duniani watu wamejaa hapa,ukisema NTAKUTANA NA NANI hapo unakua umejifunga sana

May Allah bless Me and You
 
Unafikiri kuwa single mchezo

Unaweza uka develop tabia ya kuchukia watu ambao kwenye mahusiano kisa wewe upo single

Sent from my Priceless H40-D00 using JamiiForums mobile app
Kwa mahusiano yaliyo pita yalivyo kuwa ya usumbufu.itanichukua muda kuwa na mpenzi.nina 27 sasa.naona nitulie niangalie mpenzi ambae baadae anaweza kuwa mke bora.niko single na nina furaha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Kwa mahusiano yaliyo pita yalivyo kuwa ya usumbufu.itanichukua muda kuwa na mpenzi.nina 27 sasa.naona nitulie niangalie mpenzi ambae baadae anaweza kuwa mke bora.niko single na nina furaha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nipe hints za kuwa single and happy

Sent from my Priceless H40-D00 using JamiiForums mobile app
 
Umefanya vyema,kumng'ang'ania ni kujiumiza KIAFYA si nzuri

Kuna muda unahitaj MWENZA,

Jambo zuri japo wengi hushindwa,sijui kwanin?

Usiuendekeze Moyo,moyo hauoni ila wewe ndo uatumia macho kumuona anayekuumiza,mbona naona kama jambo gumu sana kuendelea na mtu anayekuzingua,INAWEZEKANAJE?

May be ngumu,ila look forward.Mtu anakuzingua mtaishije?

Na hata kuyatenda rahis pia kama UNAJITAMBUA

Huyo HAJAKUUMIZA wewe,ukiumia mwenyewe utamruhusu

Duniani watu wamejaa hapa,ukisema NTAKUTANA NA NANI hapo unakua umejifunga sana

May Allah bless Me and You

Umenena kweli tupu...
 
-If things go wrong na hakuna namna labda.
-Wengine wapo vizureeeeeeee unafikiria mara miamia.
- Kama hakupi amani/ upendo nahamjafanya chochote labda



Mahondaw wa Smart911
 
JIFUNZE KUMUACHA AENDE

• Kamwe usihisi kama ulimwengu ndio unakaribia mwisho pale akupendae anapokuacha.

MUACHE AENDE !

• Kujaribu kumlazimisha mtu akupende ni sawa na kujaribu kumlazimisha Nguruwe kutambua usafi na uzuri. Usimlazimishe akupende, mwache mwenyewe akupende, kama hakupendi...

MWACHE AENDE !

• Wewe ni wa thamani mno kulilia penzi. Mtu ambae anakupenda kweli atakuheshimu na hataku 'treat' kama uchafu. Kama atakuchukulia wewe kama uchafu...

MUACHE AENDE !

• Usipoteze muda wako wa thamani kujaribu kumshawishi au kuomba mapenzi. Mtu mwingine pembeni anakupenda wewe kwa dhati, ila wewe uko busy mno kumuogesha nguruwe! Kwanini?

MUACHE AENDE !

• Usikasirike pale mtu wako anapompenda mwingine tofauti na wewe. Siku zote hua ni vigumu kumshawishi NYANI kwamba Asali ni tamu kuliko ndizi...

MUACHE AENDE !

• Mwanamke/mwanaume yeyote anaekuchukulia kirahisi siku zote atachukulia faida kwako, atakugeuza atakavyo kama chapati akijua hufurukuti, yeye sio Mungu wa kukufanya atakavyo...

MUACHE AENDE !

• Kuna watu hawatakupenda hata kama utajitoa kiasi gani kwao. Ni sawa tu. Kukukataa kwao haimaanishi kwamba una kitu kibaya, bali ni maana kwamba hawako kwa ajili yako. Usilazimishe duara kuwa pembe tatu...
Na unaamini hukumkosea basi usiumie sana mungu yupo na ni niwakwetu sote razima tu alipe kwa alio yafuanya ata kama no lin
MUACHE AENDE !

CHA KUJIFUNZA

• Hauwezi badilisha maoni mabaya ya watu juu yako, ila unaweza ukazuia maoni yao mabaya yasikubadilishe wewe kama wewe!

• Acha kichwa chako kiongoze moyo wako kukuondoa katika mahusiano sumu. Lengo la mahusiano sio kuleta mafadhaiko ila ni kuongeza furaha juu ya ile uliyokuwa nayo mwanzoni ulipokuwa haupo ktk mahusiano.

NI NGUMU SANA ILA KWA MUSTAKABALI WA FURAHA YAKO YA SASA NA YA BAADAE ME NAKWAMBIA MUACHE AENDE MPE NA NAULI KABISA!

Kama ipo ipo tu...!

Tupo pamoja??
 
Back
Top Bottom