Barrick GOLD aliyejigeuza na kujiita ACACIA. aka Bashite fefefe to Anaconda.Uliyemtaja ni nani?
Barrick GOLD aliyejigeuza na kujiita ACACIA. aka Bashite fefefe to Anaconda.Uliyemtaja ni nani?
Imeandikwa humo kwamba ACACIA walikuwa wanalipa kodi TRA ingawaje hawajasajiliwa kama walipa kodi. Kama ulisoma kweri umeisahau hiyo habari muhimu?Kwanini unataka nisome, au unafikiri sikuisoma tena ndani ya dk 5 iliporushwa!?
Mimi usoma mengi humu na siandiki lolote.
Kwa sababu yako sasa nimesahau yaliyoandikwa, hivyo niambie unataka nisome nijifunze nini ticha wewe?
Hawa wapinzani kama watoto hawajui wanataka nini na njia zao za kitoto badala ya kutoa hoja. Leo wanamsifia JK wakati kwa miaka 10 walishinda wanamkashifu. Wanaamini maana ya upinzani ni kupinga kila kitu. Smh
Imeandikwa humo kwamba ACACIA walikuwa wanalipa kodi TRA ingawaje hawajasajiliwa kama walipa kodi. Kama ulisoma kweri umeisahau hiyo habari muhimu?
Uwage muelewa km huwez kufikilia ukiwa umevaa shat bas baki tumbo waz ufikilie mambo mepes km haya....hicho wanachokifny ni kuwakmbsha wabunge wa ccm kuwa hta mambo ya msingi kwa taifa hili yalipokua yanajadiliwa hasa kwa hoja madhubuti kutoka kwa wapinzan wao ccm walijiona hodar sana kusimama na viongoz wa chama chao....ndo mana wanaimb hivyo ili kuwakebehi kwmb walijiona wanaimani sana na kina benja na mkwere sasa leo kiko wap????Hawa wapinzani kama watoto hawajui wanataka nini na njia zao za kitoto badala ya kutoa hoja. Leo wanamsifia JK wakati kwa miaka 10 walishinda wanamkashifu. Wanaamini maana ya upinzani ni kupinga kila kitu. Smh
Ironically.... You say something is X while you know exactly it is not X may b t z Y or Z...kwhy ilo ni dongo kwa wabunge Wa ccm waliokua kila miaka wanapitisha vitu vya kipumbavu ili kuwaunga mkono wenyevit wao Leo yametokea hayo wanageukanakwa sababu gani wameanza kuimba hivyo.... there must be a reason behind
Yan watu kitu kidg km hiki wanashindwa kukielewa mbk MTU utumie nguv nying kuwaelezea ndo tabu ya kuwa kijani akili imegandaaa tuSoma katikati ya misteri kwenye ujumbe huo wa Wabunge wa Upizani. Kwamba Marais hao Wastaafu yaani Mkapa na Kikwete nao wanahusika na hizi kashfa za uchimbaji wa Madini.
Siyo kuwa wanawasifa
Haya je unayajua au umeysikia?Naijua kwa sababu nilisikiliza yote yaliyosemwa Ikulu. Sasa kwanini ulizungukaaaaa na kunilazimisha kusoma uzi huo huku ninayajua tayari!?
Kama wanamaana hiyo, basi wafahamu kuwa wanajikejeli wenyewe,Hujaelewa wewe umedandia treni kwa mbele. JPM kule Ikulu kamwambia Ndugai kuwa style yako ya kuwatoa wabunge na kuwafungia iendelee na ana iunga mkono. N akuwa wakija huku nje na wakiongea wanayoonge kule bungeni atawashughulikia. Ndio maana wameimba hivyo kama kejeli.
Muwe mnafuatilia mambo kwa kina sio kuchukua juu juu
Naona nyumbu matamko , matendo yenu, yanawapa taabu kuyaweka kwenye njia salama, nikama kubenea anayesutwa na machapisho yake.Kwa akili uliyonayo huwezi kuwaelewa, kama ambavyo hamkumuelewa lisu hadi leo mmeshindwa kutoa hoja za kumponda.
Hahaahaaa, hawa jamaa inabidi uwe msukule kuwafaham,kwamaana kichwa chako kisiwe na uwezo wa kutuza kumbukumbu hata kwa dakika kumi , wanaimani na yule aliewaita malofa, wanaimani na mtu dhaifu! ! ! ! ! ? .Hapo inahtajika akili kubwa kuwaelewa. Wameimba ironically. Wamesema wanaimani na jk na mkapa lakn pia kupitia budget yao wanataka mikataba ipelekwe bungen. Sasa hapo ndio utajua iman yao ipoje dhid ya jk na mkapa
Yani hata hiki kidogo umeshindwa kujua wanafikisha meseji gan kwa serikali, kweli makinikia yamewaondolea uwezo wa kufikiriHawa wapinzani kama watoto hawajui wanataka nini na njia zao za kitoto badala ya kutoa hoja. Leo wanamsifia JK wakati kwa miaka 10 walishinda wanamkashifu. Wanaamini maana ya upinzani ni kupinga kila kitu. Smh
Umemjibu vizuri.shule yako ndogo huwezi kuielewa hii post
Rafiki naomba tuheshimiane ukome kuniita nyumbu.Naona nyumbu matamko , matendo yenu, yanawapa taabu kuyaweka kwenye njia salama, nikama kubenea anayesutwa na machapisho yake.
Haya je unayajua au umeysikia?
Link Sakata la Madini: Tundu Lissu ataka J Kikwete ashitakiwe haraka sana
coco hivi ulisema "ticha kwoko"?
Jina lako ni "sukari". lol
Muandiko wako unafanana na yule dada. "huko shule mlienda ........"