Safari hii mtajuta kudandia hoja ya katiba wakati haikuwamo katika ilani yenu,ndomana ,mnatokwa povu na kujitia upofu mkidhani mtatuaminisha watz kuwa mwalimu katukanwa.Rekodi zipo sawa na mtajionea wenyewe matokeo ya kuikataa rasimu.Mnaleta hoja za uchochezi kuhusu pemba na unguja mkidhani...
Wanalitumia jina la mwalimu kama hirizi yao kisiasa wakifikiri bado tupo miaka ya 90.Hata iweje chama tawala kisipojifunza kusema ukweli gharama yake itazidi kuwa kubwa kila uchao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.