Hakuna kabila linasumbua kama hilo naona hapa Tanzania oa au olewa nawamakua halafu kitakacho kukuta uje kuwasimulia wenzako,kiukwel niwataratibu sana kwa kuwangalia wakiwa mtaan lakini niwajeur na wanadharau kupindukia
Nnavyofaham mm ni kwamba huwa ni watu wenye kelele xana na huwa hawatulii,ukiambiwa yule mwanamke ni mlango wa nane hafai kuoa atakusumbua mpaka ujute kwann ulioa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.