GreenCity
JF-Expert Member
- May 28, 2012
- 5,904
- 4,666
I am a she....
What? I should have known better!
I am a she....
Then what after knowing better!!What? I should have known better!
I am a she....
Hahaha nmecheka bure...kakosea Dr... it is sleep of tongue.
Watu wengi mno wanakosea au wanasoma george baada ya gorgeous!!na kapicha ka pozi nmetupia lkn bado jamani lool au i protray masculanity in my comments chuma cha reli?
Thnx chuma cha reli!You portrayed feminine my lady but mara nyingi u have strong comment's and me I see u like IRON LADY
Pole na hongera kwa uvumilivu na upendo ulojaaliwa nao...
Ya kweli haya??
shukrani mkuuUkienda kwa Ngwajima anaweza kukwambia una mkosi na umesababishwa na mpenzi wako hivyo una hitaji maombi ili kuondoa huo mkosi!
Ukienda kwa Mganga anaweza kukuambia umetupiwa jini au uchafu unao kufunga hivyo andaa jogoo na mbuzi tufanye tambiko!
Ukimtafuta Dr wa saikolojia anaweza kukwambia una tatizo la kisaikolojia linalo kuandama na unaamini uwezi kusonga bila ex wako na hivyo unaona kila ukikataliwa unafikiri ni kwakuwa ulimuacha mpenzi wako hivyo suluhu ni kuanza kuamini unaweza na kuendelea kujaribu!
Mimi naweza kukwambia huna tatizo lolote bali unashindwa kujiamini na swala la kusema una swagga zote ni ngumu kulipima..pengine unajiona unatema point kumbe wenzio wanaona hakuna kitu...endelea kujaribu..kukataliwa hakuna idadi maalum pia angalia unapo ingia pengine si size zako!
Yepi tena jamani?Pole na pongezi?
Haya hapa
Nenda ukampigie goti huyo uliye muharibia usichana wake
I am a she....