jamani acheni kutempa na feelings za watu humu janvini, watu wanahitaji kazi halafu mtu anaweka taarifa isiyoeleweka kama hii, mimi kama mdau wa elimu, kuna aina kadhaa za UALIMU, MF.FALSAFA, SAIKOLOJIA, SOSHOLOJIA, ZANA, N.K SASA NI IPI NAZO KUNA NGAZI TOFAUTI SASA UALIMU WA NGAZI IPI?