​Anahitajika Mwalimu mwenye uwezo wa kufundisha masomo ya UALIMU (EDUCATION COURSE) katika taasisi ya elimu ya juu.
*Mwombaji awe Arusha/ aweze kufanya kazi Arusha
*Mwombaji awe amehitimu elimu ngazi ya Shahada(Degree) ya ELIMU katika chuo kikuu kinachotambuliwa na serikali.
Kwa aliye tayari atume CV yake katika barua pepe hii:
macmayala@gmail.com
Mwisho wa kupokea CV ni tarehe 31 Julai 2013
*Mwombaji awe Arusha/ aweze kufanya kazi Arusha
*Mwombaji awe amehitimu elimu ngazi ya Shahada(Degree) ya ELIMU katika chuo kikuu kinachotambuliwa na serikali.
Kwa aliye tayari atume CV yake katika barua pepe hii:
macmayala@gmail.com
Mwisho wa kupokea CV ni tarehe 31 Julai 2013