Recent content by komoakomesha

  1. komoakomesha

    Je, Director Kenny na Hanscana nani mkali katika industry ya video?

    Kwani ye keny mwenyewe anasemaje
  2. komoakomesha

    Mohamed Hussein Tshabalala

    Yanga hatutaki mashosti huku
  3. komoakomesha

    Live Updates: Namungo FC Vs Nkana FC,Uwanja wa B.Mkapa

    Mikia inagongwa nyuma pale goooooo hayana akili aisee mikiaaa kweli wanagongwa nyuma na mpira
  4. komoakomesha

    Neno la Shukrani baada ya kunusurika kwenda Segerea

    Si uliuza kitabu Cha ujasusi milioni 100 ,vp tena kuchangiwa huko, au zimeisha
  5. komoakomesha

    Unawekeza Tsh 30m unapata kodi 300k kwa mwezi. Mwenzio kawekeza Tsh 2m anapata hiyo hiyo

    Usidanganywe ndugu YaAni nilipokuja ona upuuzi kwenye tigo pesa mtu anatoa laki tano Kamisheni 2000[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] si Bora pesa yg nikafuga nguruwe miezi sita tu nimeopoa pesa ya maana
  6. komoakomesha

    The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

    Ubingwa mapema na mechi sita mkononi [emoji2484][emoji2484][emoji2484][emoji2484]
  7. komoakomesha

    Mikasa ya ajabu niliyoishuhudia kwa macho yangu

    Watu Kama nyinyi mnakera sana ,wote hatukupendi humu ,acha story iendeleee Kama kuuliza maswali utamuuliza mwisho wa story na ukitaka kuonana nae mbona lahisi tu juzi tu alikua Moro ,kwa hiyo hatupend utuvuruge humu
  8. komoakomesha

    Mikasa ya ajabu niliyoishuhudia kwa macho yangu

    Ungekua na akili usingebishana kuhusu dini kwa sababu hata waliozileta wamekufa wameacha
  9. komoakomesha

    Mikasa ya ajabu niliyoishuhudia kwa macho yangu

    Nitapigwa ban kwa ajili yke
  10. komoakomesha

    Mikasa ya ajabu niliyoishuhudia kwa macho yangu

    We jamaa unanikera wewe ,hujielewi kwani lazima huwe kwenye huu uzi au unatafuta kutukanwa sikupendi kabisa ningekua na majini ningekutupia Toka kwenye huu uzi ,wacha wenzio tupone
  11. komoakomesha

    Mikasa ya ajabu niliyoishuhudia kwa macho yangu

    We jamaa mbona una shobo wewe ,nitakutus nipigwe ban kwa ajili yko ,we inakuhusu Nini humu kwenye hii story ,kwenda zko huko ,Kama imekuuma chomoa
  12. komoakomesha

    Hali ni mbaya sana, nazidi kudhoofika

    Njoo cotex mkuu kazi zipo na huku family pia kazi za kumwaga tu
  13. komoakomesha

    Mikasa ya ajabu niliyoishuhudia kwa macho yangu

    Kwa Sasa Mimi nitapigwa ban ,nitakula sahani moja na wakosoaji humu Kama huwezi kufatililia story utoke humu sio kumkwamisha magere asisimulie story wengi tunajifunza hapa
Back
Top Bottom