Wakuu, daraja lina uwezo wa kubeba Tani nyingi tu, isipokuwa barabara ya upande wa Kigamboni bado ni ya tope, yakuruhusiwa magari mazitoyataiharibu magari madogo hayatawea kupita kwa sasa, Upande wa Kigamboni imeahidiwakumaliziwa ile KM moja kiwango cha lami kabla ya mwezi desemba
Heshima kwake Kamanda Mtoi. Mwenyezi Mungu ampumzishe pema. Huyu ni miongoni mwa waislam wenye akili walionisaidia kuikataa propaganda ya CCM kuwa CDM ni chama cha kanisa 2010.
Hujamfahamu huyo dada kwa uislam, huwa hana agenda nyingine, ameona chama chake hakina mgombea muislam mwenye mvuto, sasa anajifanya yeye hajali chama. Akiwekewa Lipumba na UKAWA huyu atamchagua. Yeye akili yake imeegemea dini tu.
Ndugu hospitali zilizo kwenye MoU ni pamoja na KCMC na Bugando, uliza kama zinalaza wagonjwa na shuka za misalaba.
Msiaminishwe uwongo na wachochezi mkaufanya kuwa ni ukweli
Maaskofu walikemea sana maovu ya awamu ya tatu, aliwasikiliza? Awaache wenzake waendelee kuiba mpaka watanzania tutakapojua kutumia vizuri sanduku la kura
Ni Tanzania pekee ambapo wezi wanatetewa hadharani kama mashujaa bila aibu. Kikwete alisema angewashangaa wabunge wa CCM kama wangetetea wezi lakini Waziri wake "Mahiri" Ghasia aliwatetea Bungeni bila aibu, sijui tuwaeleweje hawa watu wawili pamoja na mtoa mada?
Mheshimiwa Zitto, hapo ndipo ninapokukubali. Nasikitika nimesikia tetesi kwamba unataka usigombee tena ubunge, hilo litakuwa siyo pengo kwa wana kigoma kaskazini pekee bali Tanzania kwa ujumla. Please endelea na Ubunge wakati unajipanga kwa kuongoza nchi.
Kwani wewe hukusikia kwamba Nasari alipigwa Monduli akalazawa hospitali? Sasa kosa lake yeye ni kupigwa? Murji wa Mtwara kashitakiwa kwa sababu ya kupinga ufisadi wa gesi unategemea magamba wamuache?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.