Kwa watakao piga Kura ya hapana tu

Kwa watakao piga Kura ya hapana tu

ndioooooooooooooooooonndioooooooooooooooooonndioooooooooooooooooonndioooooooooooooooooonndioooooooooooooooooonndioooooooooooooooooonndioooooooooooooooooonndioooooooooooooooooonndioooooooooooooooooon
 
nasema hapana, nasema hapana , nasema hapana . anayeng'ang'ania ndiyo apigwe tu
 
ndioooooooooooooooooonndioooooooooooooooooonndioooooooooooooooooonndioooooooooooooooooonndioooooooooooooooooonndioooooooooooooooooonndioooooooooooooooooonndioooooooooooooooooonndioooooooooooooooooon

hapo umechakachua kura . hapana umegeuza ndio
 
ndioooooooooooooooooonndioooooooooooooooooonndioooooooooooooooooonndioooooooooooooooooonndioooooooooooooooooonndioooooooooooooooooonndioooooooooooooooooonndioooooooooooooooooonndioooooooooooooooooon

Hii kura yako, ni ya wazi au ya siri?
 
Hapana au ndiyo ya mtandaoni haitaathiri chochote kwenye kura halisi kwa kuwa wananchi wa kwenye mtandao ni sawa na tone la maji kwenye bahari ukilinganisha na wale walioko nje ya mtandao hasa huu wa JF. Na kura zilizoko nje ya mtandao ni Ndiyo. Nami nasema Ndiyooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo!!!


Hatuwezi kuwa sawa kifikra . Mimi binafsi pamoja na familia yangu tumedhamiria kupiga kura ya hapana kwa katiba iliyopendekezwa tukiwa na sababu maalumu.

Sasa tumekubaliana kushawishi marafiki ndugu, jamaa na marafiki kuipinga katiba hiyo ndani ya kijiji chetu.

Tunao uwezo kwa miaka mitano iliyopita tulijenga ushawishi na akachaguliwa mwenyekiti wa kijiji wa chadema , mwaka uliofuatia wa 2010 tukapigana tukapata diwani wa chadema.

Tutapigana kuhakikisha kura za hapana zinakuwa za kutosha hata kama kura za ndiyo nchi nzima zitashinda lakini hapa kwetu haitawezekani.

Kama utapiga kura ya hapana tuunge mkono kwa kuandika tu neno hapana , ili tulinganishe na wale wa ndio wepi watakuwa wengi.

NAWASHAURI mods wasimamie upigaji wa kura hii ya hapana pamoja na thread ya kura ya ndio itakayofunguliwa na wadau wa ndio ili tulinganishe matokeo yake kabla ya siku ya upigaji kura.

KARIBUNI WADAU.
 
Hapana. Ila huu usiwe mchezo wa kufarijiana tu kwenye keyboard, something has to be done!
 
Ninapiga ya Siri lakini iliyo wazi kabisa kuwa HaPaNa, hApAnA = HAPANA
 
Nyie jf mnajichekesha wenyewe
Tume ya Uchaguzi iko nyumbani kwa Ccm sasa hio kura ya hapana utapiga huko huko ulyankulu
 
Nashauri wakulu wa Mjengoni wapewe kazi ya kuhesabu kura hii. Mpaka sasa ni H22 na N3, tuone watakuja na maajabu gani.
 
hatuwezi kuwa sawa kifikra . Mimi binafsi pamoja na familia yangu tumedhamiria kupiga kura ya hapana kwa katiba iliyopendekezwa tukiwa na sababu maalumu.

Sasa tumekubaliana kushawishi marafiki ndugu, jamaa na marafiki kuipinga katiba hiyo ndani ya kijiji chetu.

Tunao uwezo kwa miaka mitano iliyopita tulijenga ushawishi na akachaguliwa mwenyekiti wa kijiji wa chadema , mwaka uliofuatia wa 2010 tukapigana tukapata diwani wa chadema.

Tutapigana kuhakikisha kura za hapana zinakuwa za kutosha hata kama kura za ndiyo nchi nzima zitashinda lakini hapa kwetu haitawezekani.

Kama utapiga kura ya hapana tuunge mkono kwa kuandika tu neno hapana , ili tulinganishe na wale wa ndio wepi watakuwa wengi.

Nawashauri mods wasimamie upigaji wa kura hii ya hapana pamoja na thread ya kura ya ndio itakayofunguliwa na wadau wa ndio ili tulinganishe matokeo yake kabla ya siku ya upigaji kura.

Karibuni wadau.

hapana
 
Back
Top Bottom