Recent content by kokojuju

  1. K

    Fastjet nauli siku hizi ni juu mno

    Hivi ni makampuni yote huwa ni kama hii fastjet watu 140 mfano kila mtu anapanda kwa bei yake? Nisaidieni
  2. K

    Fastjet nauli siku hizi ni juu mno

    Jamani wanajamvi wenzangu, Nauli za fastjet sasa hivi ni ghali mno tofauti na ilivyoanza. Leo nafanya booking ya kesho Mbeya naambiwa laki nne na upuuzi wakati mwaka juz ilikuwa bei ndogo mno. Mtatuua Fastjet.
  3. K

    Mtangazaji anayevutia kwa lugha ya Kiswahili

    Charles Hilary jamani
  4. K

    Serikali tafuteni alipopelekwa Mtanzania Jack Cliff

    Wa nini sasa ! Nenda wewe kamtafute alipo Serikali ina mengi yakufanya
  5. K

    Audio: Alichosema Askofu Dkt. Josephat Gwajima kwa Kardinali Pengo

    Kura nitapiga kwa ninavyoona mimi sio kwa kulazimishwa na mtu yoyote..wajinga ndo waambiwe jinsi ya kupiga kura
  6. K

    Audio: Alichosema Askofu Dkt. Josephat Gwajima kwa Kardinali Pengo

    Huyu jamaa sjui kasomea wapi hamna kitu kichwani mwake, anakurupuka kelele nyingii..akelee mtoto na flora ndo anachokiweza dini hamna pale ni mwanamziki wa taarabu tuu.
  7. K

    Sikutegemea lakini ndio imetokea, Nifanyeje?

    Nmefikiri na kalio zako..
  8. K

    Sikutegemea lakini ndio imetokea, Nifanyeje?

    Hahaaa acha uongo tunakujua udsm wapi wewe
  9. K

    Shirika la ndege Tanzania nimeamini lipo stable

    Haaaa atcl ilishapoteza uhalisia imebaki jina. Mwezi wa nne nlikaa airport masaa nane safari hamna tukabadilishiwa jet. Sijakuelewa mtoa mada unamaanisha ipo ipi iyo au ya fastjet yenye safari nyingii
  10. K

    Tubu kwa kuomba hii sala

    Amen amen and amen
Back
Top Bottom