Jamani wanajamvi wenzangu,
Nauli za fastjet sasa hivi ni ghali mno tofauti na ilivyoanza.
Leo nafanya booking ya kesho Mbeya naambiwa laki nne na upuuzi wakati mwaka juz ilikuwa bei ndogo mno.
Mtatuua Fastjet.
Huyu jamaa sjui kasomea wapi hamna kitu kichwani mwake, anakurupuka kelele nyingii..akelee mtoto na flora ndo anachokiweza dini hamna pale ni mwanamziki wa taarabu tuu.
Haaaa atcl ilishapoteza uhalisia imebaki jina. Mwezi wa nne nlikaa airport masaa nane safari hamna tukabadilishiwa jet. Sijakuelewa mtoa mada unamaanisha ipo ipi iyo au ya fastjet yenye safari nyingii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.