GwaB
JF-Expert Member
- Mar 19, 2014
- 3,565
- 4,614
Mkuu mbona Fastjet walitangaza siku moja ya offer kwa safari za ndani ya nchi kwa dollar 40 one way?,Nafahamu kuwa ilitangazwa kwamba mauzo yangefanyika tarehe 12/06/2015 kuanzia saa 18;00 mpaka 19;00Hrs na ilikuwa ni kwa safari hadi september.Sikuwa na safari lakini niliiona.Fastjet wanatangaza promotions zao hata humu humu JF,uwe makini kufuatilia utagundua uzuri wa kampuni hiyo,Ila ukitaka kusafiri leo hii hii lazima ulipe malaki mpaka utashangaa.Naona wanatufanya tuwe na mipango ya muda mrefu.