Recent content by kobosir

  1. kobosir

    Mfumo wa kusajili Loss Report Online unasumbua

    Huu mfumo naona hauko sawa tangu Jana. Nimefanya malipo mara mbili lakini maelekezo yanayotoka ya jinsi ya kupata document hayako sawa na ninachokiona lakini bill inaonekana haijalipwa na mbaya zaidi nanba zao zote 0736 121 266 na 0736 121 268 hazipatikani. Shida ni nini?
  2. kobosir

    Ukipewa nafasi ya kujua jambo 1 tu kuhusu Maisha yako ambalo bado halijatokea, utatamani kujua nini?

    Nahitaji sana kujua kinachoendelea katika maisha yangu na nini hatma yake
  3. kobosir

    JKT kwa Mujibu wa Sheria: Serikali gharamieni haya mafunzo au yaondolewe. Sipingi kuwepo mafunzo, napinga gharama

    Mambo kama haya ni vema yakaangaliwa kwa kina, na ni vema yakiwa Pre Listed...Ifahamike kuwa mtoto haendi kwenye mafunzo ya kijeshi bali anaenda kukomazwa na kupewa uzalendo...anatoka bado akiwa raia. Hivyo hakuna haja ya kuweka ugumu wowote. Mambo yawe wazi ili sisi wazazi wa kudunduliza...
  4. kobosir

    Wana JamiiForums wakipiga 'Presha' kamwe huwezi kubaki salama. Hongereni nyote!

    Mungu ibariki Tanzania...Mungu nibariki Mimi.
  5. kobosir

    Maumivu ya bajeti ya 2021 yako hapa kwa wananchi wa kawaida

    acha kubet 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
  6. kobosir

    Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

    rais gani alitiwa risasi? hapo namba 1?
  7. kobosir

    Mbunge Gwajima, wana Kawe bado tunaisubiria treni uliyotuahidi

    waambie wanakawe walioambiwa wiki ijayo tutazindua treni, wakati hakuna hata dalili ya reli kujengwa....watazindulia wapi? Kidimbwini?
  8. kobosir

    Mpenzi wangu kaniacha kisa sina pesa

    Pole sana Mkuu, hizo ni changamoto tunazokutana nazo katika maisha ya ujana. Fanya haya 1. Shukuru Mungu kwa kukuonyesha rangi halisi ya Anita, Just imagine, hayo yangetokea wakati umeshamuoa, ingekuaje? 2. Tafuta pesa, wanawake wanapenda Mwanaume Maarufu, Mwenye pesa ama mwenye aina yeyote ya...
  9. kobosir

    Mbunge Gwajima, wana Kawe bado tunaisubiria treni uliyotuahidi

    Kwani wote tumetekeleza ahadi tulizoahidi wakati tunatongoza? KAWE mmepigwa tongozo mkajaa!!!!!
  10. kobosir

    Gari ipi nzuri kati ya Toyota Wish au Alphard?

    Mimi nina Wish mwaka wa nne sasa, na kidogo iko busy lakini sio katika rough road...ukiachan na changamoto ya kuwa chini, sijaona changamoto nyingine....huwa nasafiri sana kati ya Moro, Dar, Dodoma, Mtwara, Lindi...ina nguvu, ina kimbia na imara. Sema tu ndo hivyo, iko chini.
  11. kobosir

    Arusha na CHADEMA yao, Lema na wahuni wake

    Pamoja na wingi wa posts lakini hi dhana ha uccm na u-ukawa itatukula sana.....Maana hata Kama kitu ni kimeo linapata nafasi eti Kwa Kuwa tu ni mlengo unaofanana.....si kweli Kuwa ukawa pipo ama ccm ama act woooote ni Poa.....kuna Vimeo kibao na makada Mnajua!
  12. kobosir

    Arusha na CHADEMA yao, Lema na wahuni wake

    Pamoja na wingi wa posts lakini hi dhana ha uccm na u-ukawa itatukula sana.....Maana hata Kama kitu ni kimeo linapata nafasi eti Kwa Kuwa tu ni mlengo unaofanana.....si kweli Kuwa ukawa pipo ama ccm ama act woooote ni Poa.....kuna Vimeo kibao na makada Mnajua unwell
  13. kobosir

    Katika wale Majambazi waliodakwa, mmoja katoka kuvisha Pete ya uchumba

    Play. Hard....work hard ..make money....but follow the rule of the game
Back
Top Bottom