Naomba kwa wanaojua sheria wanisaidie suala hili. Mbunge wa mbarali-mbeya (CCM) Dickson Kilufi alikutwa na hatia ya kutishia kuua kwa bastola na mahakama ilimhukumu kwa kosa hilo, hukumu ilikuwa kwenda jela au kulipa faini. yeye alilipa faini. je, mbunge huyo bado anasifa ya kuwa mbunge?
Zitto awawashia Moto TANESCO Songea na Kutoa Onyo kwa IGP na RPC
Naibu katibu mkuu wa CHADEMA, Zitto Kabwe leo jioni alikuwa akiuunguruma Lizaboni Songea katika kampeni wa uchaguzi mdogo wa udiwani unaotarajiwa kufanyika tarehe 1/4/2012. Katika hotuba yake mheshimiwa Zitto amewahakikishia...
Naibu katibu mkuu wa CHADEMA, Zitto Kabwe leo jioni alikuwa akiuunguruma Lizaboni Songea katika kampeni wa uchaguzi mdogo wa udiwani unaotarajiwa kufanyika tarehe 1/4/2012. Katika hotuba yake mheshimiwa Zitto amewahakikishia wakazi wa Songea kuwa atahakikisha wafanyakazi wa TANESCO ambao...
watu wawili wameua na wengi kujeruhiwa asubuhi hii songea. raia hao walikuwa wakiandamana kushinikiza jeshan la polisi lichuke hatua kwa mauaji yanaendelea kila siku mijini hapa. taarifa zaidi na picha za matukio tembelea songeayetu.blogspot.com
kwa siku za hivi karibuni kumekuwa na maswali mengi juu ya code namba hiyo, kwa yeyote anayemiliki simu ukipiga namba hiyo itakupa option nyingi kama za m.pesa , simu banking n.k sasa kiasi cha pesa nazoambiwa ni balance yangu zimetoka wapi? na iweje kila mtu awe na sh. laki 8? kwa anayejua...
ndugu yangu si kupenda vya bure, kumbuka serikali inatoa asilimia arobaini ambazo ni pesa zetu watanzania. pia kumbuka kigamboni imeuzwa hivyo tunatumia pesa zetu kujenga mji uliouzwa. akili kichwani.
nenda duka la vitabu idara ya kiswahili chuo kikuu cha dar es salaamu hapo utapata kitabu kwa ajili ya kiswahili kwa wageni ni kitabu kizuri sana. nq kamusi zote utazipata.
SHAIRI HILI LINAITWA "KWA WALIMU WOTE" LIMEANDIKWA NA PROFESA KEZILAHABI MWALIMU NA RAFIKI YANGU.
sikilizeni wimbo huu:
nilipokuwa mtoto niliitwa Chacha
kwa matamshi yangu ya sasa
nilipokuwa kijana niliitwa Chaupele
nilipokuwa mtu mzima niliitwa manywele
nilipokuwa mwalimu niliitwa BURE.
Huu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.