KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,139
Huyu jamaa ana leadership qualities kuliko mtu yeyote ndani ya chadema.
Zitto anawaambia ongea kwa uchungu sana na anasema hiv sasa hakuna mahali ambako mtoto wa tajir na maskini hawakutani sehemu yeyote ile wanayokutana.
Huyu jamaa ana leadership qualities kuliko mtu yeyote ndani ya chadema.
Chang'ombe DodomaNakumbuka hizi
kata ya kiwila -mbeya
kata ya kirumba- mwanza
kata ya Lizaboni-songea
kata ya vijibweni-Temeke
Na zingine tatu nimezisahau
Huyu jamaa ana leadership qualities kuliko mtu yeyote ndani ya chadema.