kwa siku za hivi karibuni kumekuwa na maswali mengi juu ya code namba hiyo, kwa yeyote anayemiliki simu ukipiga namba hiyo itakupa option nyingi kama za m.pesa , simu banking n.k sasa kiasi cha pesa nazoambiwa ni balance yangu zimetoka wapi? na iweje kila mtu awe na sh. laki 8? kwa anayejua naomba maelezo p.se.