Recent content by kobbodptr

  1. K

    CWT kishakufa walimu wanamtafuta msimamia haki zao

    ...hiv cwt n nn hasa...nadhan ifike mahal walimu waanzishe professional board yao km ilivo kwa wahasibu...wakandaras..madaktar..etc...kuwe na professional board ya walimu na kuwe na examz wataheshimika...cwt n kama chama cha ushirika tu...free entry free exit...
  2. K

    Miaka 4 bila chuo cha magereza kuendesha mafunzo kwa ngazi ya maafisa ni hujuma?

    ....askar wanaajiriwa kutokana na mahitaji na so labda hawahitajik maafisa kwa wakati huu...avumilie tu cku mahitaj yakiwemo atapelekwa....maafisa wakiwa wengi nayo n shida maana nguvu kaz as lengo hasa ya askar n ulinz hupungua...
  3. K

    Jinsi Video ya Bongo Fleva ilivyo "expose" ndege ya kivita ya JWTZ

    ...ni ule yupo nature..j.mo na prof j or...nliuona youtube nadhan unaitwa jwtz....
  4. K

    Kibali cha kuwinda wanyama kinatolewaje?

    ....afu et mtu anadai hakuna intellugent person tz....wapo weng ukisoma hii thread...
  5. K

    Kwa wanaopenda kuweka password katika simu zao

    ....nilikuwa siwek password ila nw nmeweka.. juz kat mshkaj kazn kasahau simu kwenye supu...afu n simu kuna detailz nying including za kiofis...mhudumu kapitanayo...kahangaika kaishindwa ile jamaa kurud kapewa simu yake....
  6. K

    Tabia za wanaoandikia kushoto

    ....wana life span fup sana....as wana wah kufa jombaaa
  7. K

    Enzi ulipokuwa boarding

    kwa wale wa MAGAMBA BOYS a.k.a GAMBIAN BULLS kule lushoto, kulikuwa na mtindo wa kupigwa fundo form 1 usiku, yaani jamaa anafunga peasi kwenye taulo halafu usiku ukiwa umelala unabondwa nalo kisha ukishtuka mtu keshasepa, ili kuepuka hilo inabidi daily uwe bundi darasani usome, au form 1 (njuka...
  8. K

    Enzi ulipokuwa boarding

    ...nakumbuka MAGAMBA BOYZ dat tyme njuka..kulikkuwa na mechi form 4 vs 3...form four wakafungwa afu jumapili cku ya nyali..dah kulipigwa bonge la beto maana ugomnv ulihamia dinning...walikula wao tu...
  9. K

    B.O.T haina reserve ya Gold na Tanzanite

    ....alternativ ilikuwa iwe na reserv ya gold ili iuze ipate dollar za kuingiza n mzunguko
  10. K

    Tangazo la king'amuzi cha Continental linanichefua

    ....dah nahis km umenisemea maana yan kila nkiliona nackia kichef chef....mkoan mkoan tu
  11. K

    The Bank that listens! Some staff violates this Motto

    ....eeeeh yaan kiujumla hili n tatizo la bank nying...nilikimbia nmb due to atm yangu ili x-pire..kupata mpya ikikuwa tamthilia....nkaenda crdb ila nmeona tatizo km lako mkuu tena lumumba branch...nkafungua nbc as another acc...nayo majanga watu wanaipigwa salio....tatizo n nn wakuu...BoT or...
  12. K

    Mtangazaji wa Radio Free Africa Fredwaa atimkia Clouds Fm

    ..alikuwa times fm b4 hajatua mawingu
  13. K

    Hii Shule ni Nzuri sana! Nimeipenda

    ...tutafutie iliyoshika nafasi ya kwanza..itakuwa nzuri zaidi ya hiyo.....
  14. K

    NMB Tanzania Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    ...nmb sometims unabore saaana...nlifunguaga akaunt moshi..nelson mandela branch yr 2008...den after shule nlihamia dsm as kikaz zaid...atm yangu ili x pire....nlifuatilia nipewe ingine via ilala branch ila mnazingua miez mitatu ikaisha et atm mpya ipo moshi....kuileta imekuwa...
Back
Top Bottom