Nilikuwa cjui kwamba umefirisika mawazo kiasi hiki!hivi hili tatizo la foleni limeanza leo!we unafikiri tatzo ni miundo mbinu au huyo askari police?duh heri ungekuwa maskini wa fedha tungekuchangia lakini umefirisika mawazo yan ni shida
Kwako mkuu!kaa ukijua kwamba technology imekuwa tena kwa Kasi ya ajabu,uhalifu wa miaka 70 iliyo pita ni tofaut na uhalifu wa leo,zaman mtu alijitokeza live ikawa rahis kukabiliana naye leo mtu huwez kumjua kiurahsi mpaka tukio,ona Westgate!hapakuwa na walinzi? Kumbuka kinga ni bora kuliko...
Kwako mkuu!kaa ukijua kwamba technology imekuwa tena kwa Kasi ya ajabu,uhalifu wa miaka 70 iliyo pota ni tofaut na uhalifu wa leo,zaman mtu alijitokeza live ikawa rahis kukabiliana naye leo mtu huwez kumjua kiurahsi mpaka tukio,ona Westgate!hapakuwa na walinzi? Kumbuka kinga ni bora kuliko...
Hawa polisi wa nchi gani?toka lini polisi wakavamia?acha kupotosha uma!kwa uhakika zaidi kama chadema wameonewa(halima mdee)lazima tutackia,wote tunajua haki inapatikana wapi!!1
Tatizo watu wanakurupuka na wanashindwa kuelewa nn wazungumzie, sasa hapa sielewi watu wanalalamikia nn?rais kupokelewa na msafara kama ule,au dafar za rais nje ya nchi, ama safar zmekuwa njingi,yan hata hoja yenyewe haina mashiko na utagundua kuwa ndoano yenye chambo marachache kukosa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.