Zambian President, Michael Sata dies in London

Zambian President, Michael Sata dies in London

Safari nyingine ya rais Kilwete hiyooooo imewadia.Vietnam anarudi lini?
 

R.I.P King Cobra mzee wa "Don't kubeba"

Da Gama na msafara wake wamepata route nyingine ni mwendo wa juu kwa juu.
 
Mzungu kuongoza Zambia . Ingekua Mwarabu wapenda michubuko ya kiarabu bongo basi povu lingwatoka.
Au hata huyu mzungu basi mibaguzi hii ya kuvaa wigi ungeona wanavo toa upepo
Guy Scort Zambia VP
 

Attachments

  • 1414557849429.jpg
    1414557849429.jpg
    28.3 KB · Views: 540
Hahaha...

Kama ni rahisi hivyo hebu fanya kutupa utabiri wa Bwana Mamvi maana nasikia naye afya yake si imara sana...
Hata wilbroad,mwandosy hawa watu umri umeenda wapumzike tu,watatuletea ...
 
Mzungu kuongoza Zambia . Ingekua Mwarabu wapenda michubuko ya kiarabu bongo basi povu lingwatoka.
Au hata huyu mzungu basi mibaguzi hii ya kuvaa wigi ungeona wanavo toa upepo
Guy Scort Zambia VP
Sisi hatunaga roho mbaya.
 
Rais wa Zambia amefariki dunia uko London alipoenda kwenye matibabu .

Source Al jazeera and New Vision Uganda.
 
Rais wa Zambia amefariki dunia uko London alipoenda kwenye matibabu .

Source Al jazeera and New Vision Uganda.
R.I.P,tutakukumbuka daima,ulionyesha dhamira ya kweli kuwa upinzani ukiamua unaweza,hakika wazambia watakukumbuka kwa mengi sana, moja kuu ninalo kumbuka na kujifunza kutoka kwako ni kauli yako uliyosema kuwa huhitaji wachina wanao uza nguo za ndani bali unataka wachina wenye taruma.
 
RIP BWANA SATA. UTAKUBUKWA NA WENGI NA HASA UREJESHAJI WA MALI ZA UMMA SERIKALINI BAADA YA KUPEWA UONGOZI WA NCHI

The Listener
EX Detective
 
R.I.P mungu ailaze lohoyake mahali pema peponi

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Likuwa anaumwa nini? Mungu wafariji Familia ya Marehemu na Wazambiani wote.
 
Poleni familia ya sata ila hili ni fundisho kutochagua marais wazee kama dk slaa
 
Mzee kifo chake kimeniuma sana tena sana kuliko marais wote walio kufa wakiwa kwenye madaraka aliyoonesha njia kwa WAZAMBIA wote, Mumgu ni yeye yule jana, leo na hata milele kama kafa kwa mapenzi yake Muumba mbingu na nchi ampumzishe kwa amani. Lot's of love to SATTA .
 
Back
Top Bottom