Recent content by Klay King

  1. Klay King

    Nahitaji kupata Till ya M-Pesa

    Habari za leo wakuu Nina shida na till ya M-Pesa kwa haraka. Documents zote zipo anayeweza kuni connect na mtu wa Vodacom akanifanyia kwa haraka basi ya maji haikosekani. Asanteni Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Klay King

    Fahamu kuhusu kuanzisha biashara ya Mobile Money (M-Pesa, Tigopesa)

    Mkuu naomba malekezo jinsi yakupata till ya mpesa kwa haraka nikiwa na doc zote, tin ninayo,leseni ninayo na kitambulisho nida Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Klay King

    Kwako mmiliki wa kampuni ya mabasi ya SuperFeo

    Jitahidini mpate maendeleo..acheni kulia lia
  4. Klay King

    Kwako mmiliki wa kampuni ya mabasi ya SuperFeo

    Kweli kuna mikoa bado ipo nyuma. Nashukuru mungu kwetu kaskazini unapata usafiri wowote uutakao kwanzia hiace,coster,noah,bajaji,pikipiki,mabus,pickup,baiskeli...yani ni wew tu
  5. Klay King

    Bei za mafuta ya petroli, dizeli na mafuta ya taa zashuka Tanzania kwa mwezi Desemba

    Kwa hyo huyu jamaa anaeniuzia brevis kwa milion 4 nichukue?..DEA
  6. Klay King

    Anataka nimnyonye kwenye tundu la haja kubwa akidai eti mapenzi ni uchafu

    Halafu utasikia jf ya siku hizi inaujinga mwingi...kumbe toka zamani
  7. Klay King

    Selfika na JF: Snap it. Show it

    Jina lako limenikumbusha jina la dada mmoja kwenye series ya 24 anaitwa chloe o'brien Aisee yule dada anaijua computer kuliko hata anavyoujua mwili wake[emoji23][emoji23][emoji23]
  8. Klay King

    Selfika na JF: Snap it. Show it

    Kwanini?
  9. Klay King

    Ballon d'Or 2019: Lionel Messi ashinda tuzo ya sita ya Ballon d'Or awabwaga Virgil Van Dijk na Cristiano Ronaldo

    Unataka tusikae kwa amani?? Majamaa ya liva yanakelele sana
Back
Top Bottom