Habari za leo wakuu
Nina shida na till ya M-Pesa kwa haraka.
Documents zote zipo anayeweza kuni connect na mtu wa Vodacom akanifanyia kwa haraka basi ya maji haikosekani.
Asanteni
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu naomba malekezo jinsi yakupata till ya mpesa kwa haraka nikiwa na doc zote, tin ninayo,leseni ninayo na kitambulisho nida
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kuna mikoa bado ipo nyuma.
Nashukuru mungu kwetu kaskazini unapata usafiri wowote uutakao kwanzia hiace,coster,noah,bajaji,pikipiki,mabus,pickup,baiskeli...yani ni wew tu
Jina lako limenikumbusha jina la dada mmoja kwenye series ya 24 anaitwa chloe o'brien
Aisee yule dada anaijua computer kuliko hata anavyoujua mwili wake[emoji23][emoji23][emoji23]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.