Planett
JF-Expert Member
- Mar 20, 2014
- 10,419
- 15,974
Popote pale ulipo kama unasoma uzi huu tafadhali sikiliza ombi langu lifuatalo.
Kwa heshma na taadhima najua kwamba wewe ni mzoefu wa masuala ya usafirishaji wa abiria na fitna zote kwenye sekta hii unazijua.
Kama ikikupendeza ulete mabasi barabara ya Dar es salaam kwenda Kilwa kivinje/masoko.
Sababu ya kukuomba uingie route hii ni kutokana na mtu mmoja ku-dominate route na kila anayekuja anaikimbia.
Namshukuru Ngombale kidooogo analeta ushindani lakini bado. Karibu sana ulete ushindani ili huduma ziwe bora na zenye viwango.
Kabla hujaja waulize wamiliki wa SWAHILI na TASHRIFU kwanini wamekimbia route na kumuachia mtu mmoja atawale ilihali kuna abiria wengi?
Naimani ombi langu utalifikiria.
Ndimi abiria/mwananchi wa Kilwa.
Kwa heshma na taadhima najua kwamba wewe ni mzoefu wa masuala ya usafirishaji wa abiria na fitna zote kwenye sekta hii unazijua.
Kama ikikupendeza ulete mabasi barabara ya Dar es salaam kwenda Kilwa kivinje/masoko.
Sababu ya kukuomba uingie route hii ni kutokana na mtu mmoja ku-dominate route na kila anayekuja anaikimbia.
Namshukuru Ngombale kidooogo analeta ushindani lakini bado. Karibu sana ulete ushindani ili huduma ziwe bora na zenye viwango.
Kabla hujaja waulize wamiliki wa SWAHILI na TASHRIFU kwanini wamekimbia route na kumuachia mtu mmoja atawale ilihali kuna abiria wengi?
Naimani ombi langu utalifikiria.
Ndimi abiria/mwananchi wa Kilwa.