Recent content by KKESHOM

  1. K

    Kutoka Tabora: Kampeni za Chama cha Mapinduzi uwanja wa Ali Hassan Mwinyi

    Mbona inaonyesha watoto wa umri chini ya miaka 18 ndo wameujaza uwanja? kwa nini tusiseme wamefuata kumwona Dimond na Alikiba? shame on you CCM. Kama mnabisha hilo ktk mkutano wenu msitangaze kuwepo kwa kina Diamond au mwanamziki yoyote muone kama watu watahudhuria huo mkutano. Wenzenu UKAWA...
  2. K

    UKAWA chonde msisahau haya katika kampeni zenu kama ahadi kwa watanzania na dunia

    1. Nimekua nikifuatilia mikutano ya kampeni za UKAWA na CCM, sijaona au kusikia mgombea hasa wa urais anayezungumzia kutumia lugha yetu ya Kiswahili ktk matukio/ mikutano ya kiserikali ndani na nje ya nchi. Kimsingi mimi nasikitika sana ninapoona Rais wa Tanzania anapotumia lugha ya kigeni...
  3. K

    UKAWA, Mkicheka na Nyani Mtavuna Mabua,.!

    MKUU umeongea jambo la maana sana. Tena hasa huyo anayejiita mdogomodogo sijui polepole anapaswa kukatwa ngebe sana. kama yeye ni mzalendo aje siku nyingine aongelee uchafu wa magufuli au mkapa tumwone mwanaume basi. vijana wa namna hii uzeeni huishia kuwa wachawi au waganga wa jadi.
  4. K

    Sikubaliani na hoja ya Lowassa Kujiengua CCM na Kujiunga CHADEMA/UKAWA

    Nani mroho wa Madaraka ya kuongoza dola kati ya CCM na UKAWA? CCM wametawala miaka 51 na hawapo tayari kuachia madaraka. UKAWA haijawahi kutawala. Je utasemaje UKAWA ni waroho? Kwani uliambiwa madaraka waliyonayo CCM ya kuongoza dola ni ya milele? Aliyewapa madaraka ndiye atakaye yanyang'anya...
  5. K

    Mkakati wa Lowassa kuiangamiza CCM

    Acha kurukaruka wakati wa kuchomwa sindano. Tulia hivyo hivyo.
  6. K

    Hatari ya mafanikio - CHADEMA/UKAWA & Lowassa

    Tumeona vyama dola vikubwa duniani vilivyoangushwa kwa sanduku la kura. Kama ccm ilikuwa na mwanzo pia ina mwisho wake. Na mwisho wake kwa asilimia kubwa mwaka huu.
  7. K

    Yaliyojiri Mkutano wa Kihistoria wa CHADEMA Mwanza, Ulirushwa live kwenye TV na Radio

    MAKENE tunataka LIVE TV acha mambo yakizamani kuluwekea picha.
  8. K

    Yaliyojiri Mkutano wa Kihistoria wa CHADEMA Mwanza, Ulirushwa live kwenye TV na Radio

    Jamani mimi ni mdau wa mkutano wa CDM uliotangazwa kuwa utarushwa live na ITV/Radio one na STAR TV. Kwa sasa nipo huku AMSTERDAM UHOLANZI na wabongo kibao tukisubiri hiyo live stream ya STAR TV. T.Makene alisema mkutano utarushwa kuanzia saa 8 mchana. Mbona tunaelekea saa 9 hatuoni kitu? Au...
  9. K

    TBC, ina maana Madiwani kuihama CCM Monduli sio habari?

    Hivi TBC 1 bado ipo hapa duniani? Niliacha kusikiliza/kuitazama miaka mingi. Sababu ni kushindwa kubalance taarifa zao.
  10. K

    CHADEMA kilichofanyika Monduli ni unafiki mkuu

    wakati ndo utakaoamua
  11. K

    Tumrudishe Msigwa tena bungeni

    weka picha tuamini acha historia zako
  12. K

    Nauliza: Eti jamani kumvua kufuli mpenzi na kutomvalisha baada ya, ni ubabe ?

    g click umenifurahisha sana kwa jibu lako. kwi kwi kwi kwi kwiiiiii
  13. K

    Madiwani wote ishirini Monduli wabwaga manyanga CCM, wahamia CHADEMA

    Atarudi Lumumba akiwa mwili wake (mzima au mfu) umejaa majeraha ya mikuki ya kimasai. Ajaribu aone!
  14. K

    Nape: Kingunge afanye anachotaka

    CCM na imeguke tu. Tumeichoka sasa na uroho wao wa madaraka bila kutaka kuachia miaka 50. Khaaa!
  15. K

    Hivi kinachofanywa na CCM kabla ya muda muafaka ni halali?

    Watanzania tumekuwa tukishudia wanachama na wagombea wa urais kupitia CCM wakipita mikoani kwa kile wanachokiita KUWATAMBULISHA WAGOMBEA. Hivi ni nani asiyemjua Magufuli na Samia nchi hii mpaka wapitishwe mikoani kutambulishwa? Binafsi naamini huko ni kuanza kampeni kabla ya wakati. Katika hili...
Back
Top Bottom