weka picha tuamini acha historia zako
Acha upumbavu kwani mfalme Sauli, Daudi, Suleiman na wafalme wengi wacha MUNGU walikuwa wanawaongoza nyani kuna tofauti gani kati ya hao wafalme na kazi msigwa anayofanya Bible yenyewe hata hauijui unaongea pumba tu.anadhalilisha ya uchungaji.. ni bora ieleweke kuwa ameacha uchungaj ni mwanasiasa kama dr slaa..! VITA VYAKE HAVIPASWI KUWA VYA ULIMWENGU HUU BALI VYAPASWA KUWA VYA KIROHO.. MATHAYO 7;21
anadhalilisha taaluma ya uchungaji.. ni bora ieleweke kuwa ameacha uchungaj ni mwanasiasa kama dr slaa..! VITA VYAKE HAVIPASWI KUWA VYA ULIMWENGU HUU BALI VYAPASWA KUWA VYA KIROHO.. MATHAYO 7;21
Frola Mbasha anatumbuiza
Mwenye nyumba anakuja mwakalibela akae chonjo huyu alipata kwa huruma ya wana iringa baada ya kukatwa mwakalibela