Baada ya Bank ya Mkombozi kutakuwa sana bungeni katika wiki HII idadi kubwa ya watu wamefungua akaunti katika Benki kushinda kipindi kingine chochote toka Bank hii ianzishwe.
Tusameheane kidogo ila nimefatilia sana toka mwanzo mchakato mzima nimegundua hawa wabunge ni waongo sana wanadanganya wananchi na kwa kuwa hatuna uwezo wa kuhoji na sisi tunaendeleza mijadala kama vipofu.mimi nina maswali machache kama mwenyekiti aliweza kuwataja hadharani mtandao wa...
Nimefatilia Kwa karibu majadiliano yenu nimeona hakuna hata Moja la maana mlilojadiliana.kwanza Taarifa yenyewe YA TBC inaonekana ni YA kisanii tupu.pili hiZo report za CIG ziko kwEnye mtandao nimezisoma zinaonekana zinamapungufu makubwa na zina maswali mengi sijui hata hao waliokuwa wanaandika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.